MCHEZO UMEMALIZIKA: Stade D'Abidjan 1 vs 1 Orlando pirates

MCHEZO UMEMALIZIKA: Stade D'Abidjan 1 vs 1 Orlando pirates

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Mchezo umetamatika Kwa suruhu ya Goli Moja kwa Moja.

Hamna mbabe Kwa mwenzake, Orlando pirates wanakwenda kushika nafasi ya kwanza na points tano "5" michezo mitatu "3"wakifatiwa na Al Ahly (Misri) mwenye alama nne "4" na michezo miwili "2" huku Stade D'Abidjan akiburuza mkia na alama Moja "1" michezo mitatu "3" Nyuma ya Cr Belouizdad mwenye Point tatu "3" na michezo miwili "2".
FB_IMG_1734200225162.webp
 
Back
Top Bottom