MCHEZO UMEMALIZIKA: Tp Mazembe 1  vs 1 Young African

MCHEZO UMEMALIZIKA: Tp Mazembe 1 vs 1 Young African

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Hii Yanga imepoteza ubora wake gafla sana sio Yanga ile ya msimu uliopita ….. Dube anaokoa Jahazi kwa Wananchi dakika za mwisho “Atleast” wamepunguza mzigo mkubwa .

Yanga kuvuna Alama 1 leo pale Lubumbashi inaweza kuwa “Turning Point” yao nzuri sana kurejea kwenye ubora wa Ligi ya Mabingwa Afrika .

Sead Ramovic bado ana nafasi ya kuwapeleka Yanga Robo Fainali ✅
 

Download PDF

  • FB_IMG_1734188894940.webp
    FB_IMG_1734188894940.webp
    115.5 KB · Views: 177
Hii Yanga imepoteza ubora wake gafla sana sio Yanga ile ya msimu uliopita ….. Dube anaokoa Jahazi kwa Wananchi dakika za mwisho “Atleast” wamepunguza mzigo mkubwa .

Yanga kuvuna Alama 1 leo pale Lubumbashi inaweza kuwa “Turning Point” yao nzuri sana kurejea kwenye ubora wa Ligi ya Mabingwa Afrika .

Sead Ramovic bado ana nafasi ya kuwapeleka Yanga Robo Fainali ✅
Kichwa cha habari andika kwa kiswahili. Hili ni jukwaa la kiswahili boss
 
Back
Top Bottom