S

Nafasi 2 za Ajira Mpya Kutoka Manispaa ya Bukoba Utumishi Octoba 2024

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Sia

Moderator

Staff member
Reputation: 89%
Joined
Oct 20, 2024
Messages
793
PSRS: Leo, tarehe 23, 2024 wametangaza nafasi za kazi katika ajira mpya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba amepokea kibali cha ajira chenye Kumb.Na. FA.97/288/01/09 cha tarehe 25 Juni, 2024 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Utawala Bora. Anawatangazia Watanzania wote wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 2 za Msaidizi wa Kumbukumbu II kama inavyoonekana hapa chini:-

Nafasi zilizo tangazwa​

  1. Msaidizi wa kumbukumbu - Nafasi 2
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 04, Novemba, 2024
Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu.
 
Back
Top Bottom