Nafasi 34 za Ajira Mpya Kutoka Wilaya ya Hanang Utumishi Octoba 2024

Nafasi 34 za Ajira Mpya Kutoka Wilaya ya Hanang Utumishi Octoba 2024

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Sia

Moderator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 20, 2024
Messages
1,651
PSRS: Sekretarieti ya Ajira leo tarehe 23, 2024 wametangaza nafasi za kazi katika ajira mpya Mkurugenzi amepata kibali kipya cha ajira kwa ikama ya mwaka 2023/2024 chenye Kumb. Na. FA. 97/288/01/09 cha tarehe 25.06.2024 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Kufuatia kibali hicho Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Hanang anakaribisha maombi kwa watanzania wenye sifa za kujaza nafasi za kazi zifuatazo :-

Nafasi zilizo tangazwa​

  1. Mtendaji wa kijiji - Nafasi 20
  2. Dereva II - Nafasi 4
  3. Msaidizi wa kumbukumbu daraja la II - Nafasi 5
  4. Mwandishi mwendesha ofisi daraja la II - Nafasi 5
Barua ya maombi iandikwe kwa Kiswahili au Kiingereza
Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 31 Oktoba, 2024

Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu

 
Back
Top Bottom