Tanzania: Kwa niaba ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawaalika Watanzania wenye uzoefu, wenye bidii, wabunifu, na waliohitimu vigezo vinavyofaa kujaza nafasi ishirini na tano (25) za kazi kama zilivyoainishwa hapa chini.
NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Similar content
Most view
View more