Sifa za Kujiunga na Diploma ya Maendeleo ya Jamii Chuo cha LGTI Hombolo

Sifa za Kujiunga na Diploma ya Maendeleo ya Jamii Chuo cha LGTI Hombolo Ada za Vigezo

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Sifa za Kujiunga na Diploma ya Maendeleo ya Jamii Chuo cha LGTI Hombolo Local Government Training Institute Hombolo Chuo cha Serikali za Mitaa.
Sifa za Kujiunga na Diploma ya Maendeleo ya Jamii Chuo cha LGTI Hombolo

Mahitaji ya Kujiunga: Wenye cheti cha kidato cha nne (CSEE) na alama angalau nne za kufaulu kwenye masomo yasiyo ya kidini.

Muda wa Programu: Miaka 3.

Uwezo wa Kupokea: Wanafunzi 1,300.

Ada ya Masomo: Tsh. 915,000/= kwa wazawa, USD 1,200/= kwa wageni.

Mahitaji Mbadala: Wenye Cheti cha Msingi cha Ufundi (NTA Level 4) katika fani za Kazi za Jamii, Jinsia, Maendeleo ya Jamii, Usimamizi wa Rasilimali Watu, Sheria, Kilimo, Uuguzi AU wenye cheti cha kidato cha sita (ACSEE) na alama moja kuu (Principal) na moja ya nyongeza (Subsidiary).

Muda wa Programu: Miaka 2.

Kwa maelezo zaidi tembelea
 
Back
Top Bottom