SIKU YA MECHI

SIKU YA MECHI

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟSimba SC๐Ÿ†šSC Sfaxien๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ
๐Ÿ†CAF Confederation Cup
๐ŸŸ๏ธMkapa Stadium
๐Ÿ—“๏ธDesember 15/2024
โฐSaa 10:00 Jioni

๐Ÿ“ก๐Ÿ“บ๐‹๐ˆ๐•๐„: ๐€๐ณ๐š๐ฆ๐’๐ฉ๐จ๐ซ๐ญ๐ฌ1๐‡๐ƒ

Mechi mhimu Kwa Simba sports club kwani wakishinda watafufua matumaini Yao ya kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano hii ya Shirikisho Africa na kuongeza Point Kwenye rank ya vilabu Bora Africa pia imekua utaratibu Wao kufuzu hatua ya robo fainali Toka mwaka 2017/2018.

Matumaini ya watanzania wengi ni kuona vilabu vyao vinafuzu hatua ya robo fainali Africa na kuziona zikicheza hatua kubwa kubwa kama nusu fainali na Fainali Kwa ujumla.

Mungu ibariki Simba sports club๐Ÿฆ, Mungu ibariki Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
IMG-20241215-WA0001.webp
 
Back
Top Bottom