Tangazo la Nafasi za Kazi Wilaya ya Mafia - Desemba 2024

Tangazo la Nafasi za Kazi Wilaya ya Mafia - Desemba 2024

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,576
Gift submitted a new resource:

Tangazo la Nafasi za Kazi Wilaya ya Mafia - Desemba 2024 - Ajira mpya Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia amepokea Kibali cha Ajira Mpya kwa Ikama ya Mwaka wa Fedha 2023/2024 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/09 cha tarehe 25 Juni, 2024 kwa upande wa nafasi za Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II na Kibali cha Ajira Mbadala chenye Kumb. Na. FA.228/613/01/D/065 cha tarehe 09 Julai, 2024 kwa upande wa nafasi ya Mtendaji wa Kijiji Daraja la III. Hivyo Watanzania...

Read more about this resource...
 
Back
Top Bottom