TANGAZO LA WALIOITWA KWENYE USAILI JESHI LA MAGEREZA

TANGAZO LA WALIOITWA KWENYE USAILI JESHI LA MAGEREZA 12-11-2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Hili hapa tangazo la orodha ya majina ya walioitwa kwenye usailiKamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza anawatangazia vijana walioomba ajira kupitia Mfumo wa Ajira wa Jeshi la Magereza (Tanzania Prisons Service Recruitment Management System (TPSRMS)), kwamba kutakuwa na usaili wa vijana waliokidhi vigezo vya awali. Usaili huo utafanyika Makao Makuu ya Jeshi la Magereza na kwenye Ofisi za Wakuu wa Magereza wa Mikoa kwa tarehe zilizoainishwa katika Tangazo hili. Usaili huo utaanza saa mbili kamili (02:00) asubuhi. Gharama za malazi, chakula na nauli, zitagharamiwa na wahusika.

Pakua PDF hapo chini.
TANGAZO LA WALIOITWA KWENYE USAILI JESHI LA MAGEREZA
 

Download PDF

Similar content Most view View more
Back
Top Bottom