Update kuhusiana na majibu ya Interview

Update kuhusiana na majibu ya Interview

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Cassy Cruz

New member

Joined
Feb 22, 2026
Messages
1
Habari yako , pole na majukumu ya kazi samahani nlikuwa naomba unisaidie kuuliza kwenye group kuna aliefaulu oral interview ya brac maendeleo iliyofanyika mwezi wa tatu Mkoa wa Arusha na ameshapigiwa simu ya kupewa taratibu zingine. Mm hadi mda huu sijapata update yoyote kutoka brac na sijui kama watu wengine washaitwa.

Nachohitaji kujua na wao hawajapigiwa kama mm au msaada please.
 
Last edited:
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom