Wasailiwa wa kada zote zilizopangiwa kufanya usaili wa mahojiano tarehe 7 Disemba 2024 katika chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) mnajulishwa kuwa kuna mabadiliko ya tarehe ya kufanya usaili huo. Usaili wa mahojiano utafanyika tarehe 6 Disemba 2024 badala ya tarehe iliyotangazwa awali. Aidha mahali na muda wa kufanya usaili utabaki kama ulivyo kwenye tangazo la kuitwa kwenye usaili. Kwa taarifa zaidi tembelea tovuti ya www.ajira.go.tz
Utumishi wametangaza mabadiliko ya usaili NIT l Chuo cha Taifa cha Usafirishaji
- Thread starter Sia
- Start date
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Similar content
Most view
View more