Wydad Athletic Club Kuibomoa Yanga Sc

Wydad Athletic Club Kuibomoa Yanga Sc

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Klabu ya Wydad Athletic imebisha hodi tena Yanga kutaka wachezaji wawili.

Wachezaji hao wawili ni Clement Mzize na Stephane Aziz Ki.
FB_IMG_1736416875163.webp

Yanga iliweka wazi wataanza kusikiliza ofa kwa wachezaji hao wawili ikiwa watafikia dola $800,000 kila mmoja.

Yanga pia imesema haitawaruhusu wachezaji hao kuondoka hasa kutokana na ushiriki wao katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwani wana nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali.

Rulani Mokwena amekuwa wazi na bodi ya Wydad kuwa anataka huduma ya wachezaji hawa wawili kwenye kikosi chake ingawa anajua itakuwa ngumu sana.

Majadiliano yanaendelea.
 
Back
Top Bottom