Wydad Casablanca Bado Wanahitaji Huduma Ya Mzinze Clement Wa Yanga

Wydad Casablanca Bado Wanahitaji Huduma Ya Mzinze Clement Wa Yanga

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Klabu ya Wydad Casablanca imetenga kiasi cha fedha 831,082 US Dollar sawa na kiasi cha Billioni mbili za kitanzania kwaajili ya kunasa saini ya mchezaji Clement Mzize ifikapo dirisha kubwa la usajili.
FB_IMG_1736165519088.webp

Hapo awali klabu ya Wydad Casablanca ilihitaji sana huduma ya nyota huyo anaeichezea klabu ya Young Africans Sc lakini viongozi walitupilia mbali barua yao ya kumsajili Clement Mzize.

Klabu ya Wydad Casablanca imekumbwa na tatizo la kupata mshambuliaji wa kati (CF) ambae ni mzuri kumalizia mipira ya mwisho na ukosefu wa mchezaji kama mzize unapelekea Wydad Casablanca kupata matokeo finyu kwenye mechi zake au kupoteza kabisa.
 
Back
Top Bottom