Yanga Sc Wasijiamini Kupitiliza, George Ambangile Kuelekea Mechi Ya TotallyEnergy CAFCL

Yanga Sc Wasijiamini Kupitiliza, George Ambangile Kuelekea Mechi Ya TotallyEnergy CAFCL 2024/2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Kufuatia Mchezo Unaofuata wa Yanga Dhidi Ya Al Hilal, Mchambuzi wa michezo George Ambangile anasema kuwa Yanga SC wasipige hesabu kisa Al hilal kuwa wamefuzu kama utakuwa mchezo mwepesi.
FB_IMG_1736321588578.webp

“Yanga SC haitakiwi kumpigia hesabu Al Hilal kwa sababu wamefuzu basi wanaweza kumwachia..! Hapana hilo ni kosa kubwa sana wanabidi waelewe kuwa wanaenda kukutana na Al-Hilal ambayo ipo imara sana.
 
Back
Top Bottom