Yanga Sc Wasijiamini Kupitiliza, George Ambangile Kuelekea Mechi Ya TotallyEnergy CAFCL

Yanga Sc Wasijiamini Kupitiliza, George Ambangile Kuelekea Mechi Ya TotallyEnergy CAFCL 2024/2025

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Kufuatia Mchezo Unaofuata wa Yanga Dhidi Ya Al Hilal, Mchambuzi wa michezo George Ambangile anasema kuwa Yanga SC wasipige hesabu kisa Al hilal kuwa wamefuzu kama utakuwa mchezo mwepesi.
FB_IMG_1736321588578.webp

“Yanga SC haitakiwi kumpigia hesabu Al Hilal kwa sababu wamefuzu basi wanaweza kumwachia..! Hapana hilo ni kosa kubwa sana wanabidi waelewe kuwa wanaenda kukutana na Al-Hilal ambayo ipo imara sana.
 
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom