Yanga Sc Wasijiamini Kupitiliza, George Ambangile Kuelekea Mechi Ya TotallyEnergy CAFCL

Yanga Sc Wasijiamini Kupitiliza, George Ambangile Kuelekea Mechi Ya TotallyEnergy CAFCL 2024/2025

Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Kufuatia Mchezo Unaofuata wa Yanga Dhidi Ya Al Hilal, Mchambuzi wa michezo George Ambangile anasema kuwa Yanga SC wasipige hesabu kisa Al hilal kuwa wamefuzu kama utakuwa mchezo mwepesi.
FB_IMG_1736321588578.webp

“Yanga SC haitakiwi kumpigia hesabu Al Hilal kwa sababu wamefuzu basi wanaweza kumwachia..! Hapana hilo ni kosa kubwa sana wanabidi waelewe kuwa wanaenda kukutana na Al-Hilal ambayo ipo imara sana.
 
Back
Top Bottom