Yanga Yawakosa Nyota Wake Watatu Kufuatia Mchezo Wa Ungwe Ya Tano Dhidi Ya Al Hilal Kwenye TotalEnergies CAFCL

Yanga Yawakosa Nyota Wake Watatu Kufuatia Mchezo Wa Ungwe Ya Tano Dhidi Ya Al Hilal Kwenye TotalEnergies CAFCL 2024/2025

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Uongozi soka ya Yanga imethibitisha kuwa klabu hiyo bado inaendelea kuwakosa nyota wao muhimu,Aziz Andambwile, Yao Kouassi Atouholla
na Max Mpia Nzingeli.
FB_IMG_1736326263525.webp

Repoti kutoka kwa daktari wa klabu hiyo Etutu Moses zinaeleza kuwa bado wanaendelea na matibabu kwa wiki chache zijazo.

Isipokuwa Clatous Chama amerejea kikosini kwa safari ya kuwafuata Al Hilal Omdurman.
 
Back
Top Bottom