Ajira na Nafasi za kazi

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa na Makampuni Mbali mbali kutoka Tanzania, Sector Binafsi na Ajira za Serikalini.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Jinsi ya Kufungua Akaunti / Account Ajira Polisi Tanzania 2025 kujisajili katika mfumo wa maombi, fata hatua hizi hapa chini. Bonyeza hapa kufungua sasa
Replies
0
Views
8K
Arthur
Jeshi la Polisi Tanzania limetangaza nafasi za Ajira mpya leo Machi 21, 2025. Jisajili hapa katika mfumo wa maombi ya ajira polisi Ingia katika mfumo wa ajira jeshi la polisi hapa.
Replies
0
Views
14K
Arthur
Huu hapa mwongozo wa jinsi ya kutumia na kutuma maombi katika Mfumo wa Maombi ya Ajira jeshi la Polisi Tanzania kwa kada zote.
Replies
0
Views
9K
Arthur
Hili hapa tangazo la Ajira Mpya Polisi Tanzania kada zote 21-03-2025 nafasi za kazi Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania anatangaza nafasi za ajira kwa vijana wa kitanzania wenye elimu ya shahada...
Replies
0
Views
23K
Arthur
Hili hapa Tangazo la Ajira mpya Jeshi la polisi Tanzania, Zinatangaza nafasi za ajira kwa vijana wa kitanzania wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada, Kidato cha sita na Kidato cha nne...
Replies
0
Views
31K
Hili Hapa Tangazo la ajira mpya chuo kikuu cha SJUT watanzania wenye sifa kamili wanashuriwa kutuma maombi mapema ili kujaza nafasi hizi PAKUA PDF FILE HAPO CHINI KISHA TUMA MAOMBI
Replies
1
Views
4K
Jailos
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombajikazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 16-01-2025 na tarehe 24-02-2025kuwa matokeo ya...
Replies
0
Views
14K
Hili hapa tangazo la majina ya walioitwa kazini muda huu kutoka ajira portal au utumishi leo. Pakua PDF hapo chini.
Replies
0
Views
11K
Hili hapa tangazo la ajira mpya Coca Cola Kwanza watanzania wote wenye sifa na ari wanahimizwa kutuma maombi kabla ya deadline BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI
Replies
1
Views
8K
stisha
Maswali ya Usaili ICT Interview Nafasi za
Haya hapa Maswali ya Usaili nafasi za ICT katika interview mbalimbali zinazo fanyika nchini Tanzania katika ajira mpya kada za ICT na mfumo wake. Chini hapa ni baadhi nitaendelea kuweka maswali...
Replies
1
Views
7K
Back
Top Bottom