Ajira na Nafasi za kazi
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa na Makampuni Mbali mbali kutoka Tanzania, Sector Binafsi na Ajira za Serikalini.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Haya hapa Matokeo ya Usaili wa kuandika uliofanyika jana tarehe 19/03/2025 PAKUA PDF FILE HAPO CHINI
Hii hapa orodha ya majina ya Walioitwa Kazini TAA - Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania leo
Kwa niaba ya Taasisi ya Taifa ya Usafirishaji (NIT), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawaalika Watanzania wajasiri, wanaochukua hatua, wenye uzoefu na wenye sifa zinazostahili...
Haya hapa matangazo yote ya walioitwa kazini kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Tafadhali pakua faili za PDF kwa uangalifu na kwa utaratibu, kisha chunguza kwa makini kama jina...
Usaili wa Afisa Hesabu II kwa wasailiwa wa Dar es Salaam utafanyika katika Ukumbi wa Major General Isamuhyo, Mgulani JKT. Muda na tarehe ya usaili havijabadilika. Kwa waombaji wa usaili wa vitendo...
Nafasi Mpya za kazi CRDB Bank Tanzania Ajira Mpya 2025
Hili hapa Tangazo la Najira mpya Benki ya CRDB wanahitajika wa tanzania wenye sifa na ari kutuma maombi kwa ajili ya nafasi hizi, BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI
Nafasi Nyingi za kazi Taifa Gas Ajira Mpya 2025
Hili Hapa Tangazo ya ajira mapya Taifa Gas Kama umekidhi viwango Tuma maombi mapema kabla ya Deadline, Pakua PDF hapo Chini Ujionee
Nafasi 32 za kazi Unionbay Group Ajira Mpya 2025
Hili hapa tangazo la ajira mpya za mwezi march 2025 kutoka union bay Group kwa watanzania wenye sifa na ari, wahi sasa Tuma maombi mapema kabla ya Deadline:-
Nafasi za Kazi Resourceful Hub Ajira Mpya 2025
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Resourceful Hub 2025 kwa watanzania wote wenye nia, ari, sifa, vigezo waweze kutuma maombi kujaza ajira mpya hizi zilizo tangazwa siku ya leo. Pakua PDF hapo chini.
Hili hapa tangazo la Nafasi za Ajira Mpya Kilombero Sugar 2025 kwa watanzania wote wenye nia, ari, sifa, vigezo waweze kutuma maombi kujaza ajira mpya hizi zilizo tangazwa siku ya leo. Bonyeza...