Ajira
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa na Makampuni Mbali mbali kutoka Tanzania, Sector Binafsi na Ajira za Serikalini.
NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Kuunda ni kampuni ya kifedha inayojikita katika teknolojia ya kidijitali kwa biashara (B2B), inayosaidia sekta isiyo rasmi kupata mtaji kupitia APIs za kifedha na mifumo ya kipekee ya upimaji wa...
Nafasi za kazi Kampuni ya Kilombero Rice Farmers December 2024 KTC ni kampuni iliyopo Mlimba, Morogoro, Tanzania, inayojihusisha na kilimo na biashara ya mpunga. Tunauza mpunga ndani ya Tanzania...
Hizi hapa Nafasi za kazi Chama cha ushirika wa Akiba na Mikopo cha JAM MAONO LIMITED, Arusha katika mpango mkakati wake wa kupanua wigo wa kutoa huduma imeanzisha huduma za uwakala wa fedha kwa...
Nafasi za kazi 60 Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya linamiliki na kuendesha taasisi za Afya katika Mikoa ya Mbeya na Songwe. Jimbo linayo furaha kutangaza nafasi za kazi kwa watanzania wote wenye sifa...
Ajira Portal | Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs, Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) anapenda...
Hizi hapa Nafasi za kazi Shirika la Health and Insurance Management Services Organization (HIMSO) ni shirika la Kitanzania lisilo la kiserikali (NGO) lililoanzishwa mwaka 2012 kwa ajili ya...
Hizi hapa Nafasi za kazi Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) inapenda kuwakaribisha Watumishi wa Umma wenye sifa na nia ya kujiunga na DART kwa njia ya uhamisho kama ifuatavyo: Mahitaji Muhimu...
Haya hapa Matokeo ya Usaili wa Kuandika Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) na Chuo cha Maji December 2024 yaliyo tangazwa na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma uliofanyika siku ya jana tarehe...
Hizi hapa Nafasi za kazi Platinum Credit Tanzania December 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye nia, ari na sifa zote kwa kufata maelezo yaliyotolewa kwenye tangazo hili hapa chini...
Mkurugenzi wa Kampuni ya Ulinzi ya Pasiansi Wildlife Security Company Limited (PASCO) anatangaza nafasi 70 za ulinzi kwa wahitimu waliomaliza katika Chuo cha Taaluma ya Wanyamapori-Pasiansi. Sifa...