Ajira
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa na Makampuni Mbali mbali kutoka Tanzania, Sector Binafsi na Ajira za Serikalini.
NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
- Question
Twambie, Je ni sahihi Ajira za Walimu kuwekwa kando mpaka January 2025?
Gharama, Ada na Vifurushi vya Bima ya Afya vya NHIF ambavyo ni NAJALI AFYA, WEKEZA AFYA, na TIMIZA AFYA ni mpango unaowezesha mwanachama kupata huduma za matibabu kupitia Kichangia Bima na mfuko...
Tanzania Investment and Consultant Group Limited (TICGL) ni kampuni inayotoa huduma za ushauri na kusaidia uwekezaji kwa lengo la kukuza uchumi na maendeleo endelevu hapa Tanzania. Tunashughulika...
Hizi hapa nafasi za kazi zilizo tangazwa na Taasis ya Bima ya Tanzania ilisajiliwa na Wizara ya Mambo ya Ndani mwaka 1996 kama tawi la ndani la Taasisi ya Bima ya Chartered (CII) ya London. Hadi...
ZanAjira; Nafasi za kazi 461 Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali December 2024 kama ifuatavyo: Ajira zilizo tangazwa 1. Mwalimu...
AKO GROUP LIMITED ilianzishwa jijini Dar es Salaam mwaka 1991 na ni kampuni tanzu ya SF Group of Companies Limited. Kampuni hii ilianzishwa kwa lengo la kuleta ubunifu katika sekta ya huduma za...
Wananchi, Hizi hapa Nafasi za kazi 11 Wilaya ya Mpwapwa December 2024. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa anawatangazia Wananchi wote Raia wa Tanzania wenye sifa...
Hizi hapa Nafasi za kazi Nesch Mintech Desemba 2024. Mkurugenzi wa Shughuli za Maabara atahusika na kusimamia shughuli zote za maabara, kuhakikisha kazi zinafanyika kwa ufanisi na kutekeleza...
Tazama Pipelines Limited ni kampuni muhimu ya miundombinu ya nishati, inayosafirisha bidhaa za mafuta yaliyosafishwa kutoka Dar es Salaam hadi Zambia na Malawi. Kama mradi mkubwa wa miundombinu...
Amref Health Africa ilianzishwa mwaka 1957 na tangu wakati huo imekua hadi kuwa shirika kubwa zaidi la kimataifa lenye mizizi barani Afrika linalojikita kwenye maendeleo ya afya. Kwa sasa, Amref...