Sports
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Uongozi wa Young Africans Sports Club (Yanga) umetangaza rasmi kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa timu ya kwanza, Angel Miguel Gamondi, pamoja na Kocha Msaidizi, Moussa Ndaw. Taarifa hii imetolewa...
Yanga imeonyesha kuwa haina mchezo inapokuja suala la mafanikio, kwani klabu hiyo imefanya maamuzi makubwa ya kumtenga aliyekuwa kocha wao, Miguel Gamondi, na kuanza rasmi mchakato wa kumnasa...
Baada ya kumaliza jumla ya mechi 10 kwenye Ligi Kuu Bara, Simba SC imefanikiwa kuvuna pointi 25 huku ikifunga mabao 21 na kuruhusu mabao matatu tu. Mafanikio haya yanaashiria uimara wa kikosi cha...
Kiungo mahiri wa mpira kutoka Zanzibar, Feisal Salum Abdalah, maarufu kama Fei Toto, ameonyesha dalili za kuachana na Azam FC, klabu aliyokuwa akiitumikia kwa muda sasa. Japokuwa uongozi wa Azam...
Christina Mwagala, Afisa Habari wa klabu ya Tabora United, ameonesha msimamo mkali dhidi ya Yanga SC baada ya mechi iliyochezwa jana. Katika mazungumzo yake na wanahabari, Christina alionyesha...