habari mimi ni mgeni kidog kwenye mambo ya kuapply kazi Sasa Kuna tangazo moja la intern kwenye kampuni ya logistics Sasa mimi nilifanya application kwa kuchelewa dk 10 maana walisema "We appreciate your prompt response upon receiving this email within 24 hours". Walisema hviii na mimi email nilijibiwa saa 9:31 asubhi mim nikaja kutuma vitu walivyoniambia niwatumie saa 9:40 na mbaya zaidi documents ziliitajika kutumwa ni 5 nikatuma 4 na kama baada ya dk 1 nikatuma follow up email ambapo documents nyengine ndo nikaituma je kutakua na shida yoyote hapo
Kuchelewa kutuma documents kwa dk chache
- Thread starter fedrick
- Start date
Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa
Similar content
Most view
View more