Huu hapa msimamo wa kundi la Simba sports club Katika Michuano ya Kombe la shirikisho barani Africa CAFCC.
Simba akiwa anaongoza kundi hilo akiwa na points Tisa na michezo minne huku bravo do Maquis wakifuatia nafasi ya pili akiwa na alama Sita sawa na Cs Constantine wakiwa wamecheza michezo...
Fadlu amegeuka mwiba mkali kwa wapinzani.
Simba ya Fadlu imeruhusu goli chache (5) kwenye mechi 15 za NBC.
Simba imeruhusu goli chache (3) kwenye kundi (A) CAF.
Simba ni vinara wa kundi (A) CAF.
Simba ni vinara NBC.
Fadlu na Simba yake wanaongoza kila kona…..Fadlu amegeuka shubiri kwa wapinzani
Michezo ya mapema kabisa Leo Kwenye Kombe la shirikisho Africa CAFCC Imetamatika huku Simba Mnyama akipata Ushindi wake wa kwanza katika ardhi ya mwarabu nchini Tunisia ambapo ameondoka na Ushindi wa Goli Moja Kwa bila Dhidi ya Cs Sfaxien,
Huku Stellenbosch FC wakishinda mbili bila Dhidi ya CD...
Ushindi wa Simba dhidi ya Cs Sfaxien unawapeleka kileleni mwa msimamo wa kundi A wakiwa na alama 9 na kuzima ile kauli ya Simba huwa haijawahi kushinda nyumbani kwa mwarabu.
Ni mechi ambayo ilihitaji wachezaji wanaokimbia sana kiwanjani , kulikuwa na matumizi ya mipira mingi mirefu , power play...
CS Sfaxien wako nyumbani leo kwenye kampeni yao kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho na wanacheza dimbani kucheza na Simba Sc.
Sfaxien hawajashinda mchezo wowote katika michezo mitatu waliyocheza na wako mkiani wakiwa hawana alama yoyote mpaka sasa huku wakiwa wameruhusu mabao 6...
KIKOSI Cha Simba Sports Club Dhidi Ya Cs Sfaxien Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC
Klabu ya Simba itakuwa ugenini Leo kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Ya Shirikisho Africa CAFCC dhidi ya Cs Sfaxien ya Tunisia.
Mchezo huo utapigwa Leo January 05, 2025 kwenye Uwanja wa stade Rades Tunis...
Kocha Mkuu wa klabu ya Simba sports club Fadlu Davids ameweka wazi kuwa mchezo wa leo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika (𝗧𝗼𝘁𝗮𝗹𝗘𝗻𝗲𝗿𝗴𝗶𝗲𝘀𝗖𝗔𝗙𝗖𝗖) dhidi ya CS Sfaxien utakuwa mgumu kutokana na ubora wa wapinzani
Kocha Fadlu amesema pamoja na CS Sfaxien kufanya mabadiliko kwenye benchi la...
KIUNGO wa Simba Mzamiru Yassin amesema mechi yao ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF CC) dhidi ya Sfaxien ya Tunisia haitakuwa nyepesi wanahitaji jitihada, umakini na nguvu kuhakikisha wanapata matokeo.
“Mechi za ugenini huwa ni ngumu haijalishi umecheza na timu gani tunatakiwa tuwe makini, mtu...
Kikosi cha Simba Sports Club kimefanya mazoezi ya kwanza nchini Tunisia tayari kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika 𝗧𝗼𝘁𝗮𝗹𝗘𝗻𝗲𝗿𝗴𝗶𝗲𝘀𝗖𝗔𝗙𝗖𝗖 dhidi ya CS Sfaxien🇹🇳 utakaopigwa Jumapili Januari 5.
Mazoezi hayo yamefanyika katika Uwanja wa nje wa Olympique De R – Tunis ambao...
Simba anaendelea kusalia pale juu nafasi ya kwanza na alama 40 akishinda michezo 13 sale 1 na kupoteza 1 huku akifunga mabao 31 na kuruhusu mabao 5 pekee.
Simba amekamilisha michezo yake yote ya Ungwe ya kwanza. Yanga mwenye alama 36 Nyuma ya Simba huku akiwa na Mchezo mmoja mkononi kukamilisha...
Plan ya Fadlu Davids imeanzia kWa huyu mwamba “Jean Charles Ahoua” wakati timu inashambulia kuwa na uharaka wa kufanya maamuzi na pass sahihi kwenda mbele 👏
Ahoua akiwa na mali Kibu anakuwa wides zaidi the same na Mpanzu + Mukwala sio standing straiker anamove nafasi nyingine (spaces zinakuwa...
Game bora kuishuudia…. High intensity 🔥 Simba wanaunda mashambulizi kwa uharaka sana kwa kutumia mawings wao (Mpanzu na Kibu) ambao wanakuwa wides sana : Simba wanaanza Build Up vizuri sana wanaipita pressing ya Singida kwa pasi fupi fupi + Position ya viungo wao 👍
Singida hawakuzuia wakiwa...
Mechi ya leo kwa Simba ni moja kati ya mechi ngumu sana msimu huu,wanakutana na timu bora sana kiwanjan
Nje ya uwanja wapinzani wanaamini kwa trend ya matokeo ya Simba hivi karibuni hii mechi wanakwenda kupoteza!
Changamoto kwa Nswanzurimo ni game approach kwenye huu mchezo, akipokea maelekezo...
Wawili Simba Kuikosa Singida Black Stars Leo
Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba SC, Fadlu Davids amesema kuwa Kikosi chake kiko tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Singida Black Stars ambao utapigwa Leo Jumamosi katika uwanja wa CCM LITI.
Akizungumza katika Mkutano na wanahabari jana, Fadlu...
Klabu ya Singida Black Stars imetangaza viingilio vya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Simba SC.
Mchezo huo utapigwa Leo Jumamosi tarehe 28 December 2024, kuanzia saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa CCM Liti, Mkoani Singida.
Viingilio hivo vimetajwa kuwa Kwa mzunguuko itakuwa ni Tsh 10,000, huku...
Hii hapa Ratiba ya Mechi za Leo Jumamosi 28 December 2024
Tanzania – Premier League
16:00 Singida Black Stars vs Simba SC
18:15 Dodoma Jiji FC vs Mashujaa
Italy – Serie A
17:00 Empoli vs Genoa
17:00 Parma vs Monza
20:00 Cagliari vs Inter Milan
22:45 Lazio vs Atalanta
Portugal – Primeira Liga...
Performance bora kutoka kwa kipa Wa JKT,Yakoub Suleiman🙌
Kipindi cha kwanza amefanya saves Za kutosha ila ile ya kichwa cha Ateba inaweza kuwa Save bora ya mwaka.
Jamaa yuko active Muda wote,anasoma vizuri movement Za Wachezaji Wa Simba kabla hawajapiga.
Simba iliwabidi kutumia njia mbadala...
Leo saa 10 jioni kikosi Cha Simba sports club kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili JKT Tanzania katika muendeleo wa Ligi Kuu ya NBC.
Hapana shaka mchezo wa leo utakuwa mgumu kutokana na JKT kuundwa na nyota wengi wazoefu ambao walicheza kwenye kikosi cha Simba sports club kwa nyakati...