simba leo

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Msimamo Wa Kundi La Simba Sports Club Kundi A TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

    Msimamo Wa Kundi La Simba Sports Club Kundi A TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

    Huu hapa msimamo wa kundi la Simba sports club Katika Michuano ya Kombe la shirikisho barani Africa CAFCC. Simba akiwa anaongoza kundi hilo akiwa na points Tisa na michezo minne huku bravo do Maquis wakifuatia nafasi ya pili akiwa na alama Sita sawa na Cs Constantine wakiwa wamecheza michezo...
  2. Kocha Mkuu Wa Simba Sports Club Ageuka Mwiba Kwa Wapinzani

    Kocha Mkuu Wa Simba Sports Club Ageuka Mwiba Kwa Wapinzani

    Fadlu amegeuka mwiba mkali kwa wapinzani. Simba ya Fadlu imeruhusu goli chache (5) kwenye mechi 15 za NBC. Simba imeruhusu goli chache (3) kwenye kundi (A) CAF. Simba ni vinara wa kundi (A) CAF. Simba ni vinara NBC. Fadlu na Simba yake wanaongoza kila kona…..Fadlu amegeuka shubiri kwa wapinzani
  3. Michezo Imetamatika Michuano Ya Kombe La Shirikisho Africa TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

    Michezo Imetamatika Michuano Ya Kombe La Shirikisho Africa TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

    Michezo ya mapema kabisa Leo Kwenye Kombe la shirikisho Africa CAFCC Imetamatika huku Simba Mnyama akipata Ushindi wake wa kwanza katika ardhi ya mwarabu nchini Tunisia ambapo ameondoka na Ushindi wa Goli Moja Kwa bila Dhidi ya Cs Sfaxien, Huku Stellenbosch FC wakishinda mbili bila Dhidi ya CD...
  4. Mchezo Umetamatika: Cs Sfaxien 0 Vs 1 Simbasc TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

    Mchezo Umetamatika: Cs Sfaxien 0 Vs 1 Simbasc TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

    Ushindi wa Simba dhidi ya Cs Sfaxien unawapeleka kileleni mwa msimamo wa kundi A wakiwa na alama 9 na kuzima ile kauli ya Simba huwa haijawahi kushinda nyumbani kwa mwarabu. Ni mechi ambayo ilihitaji wachezaji wanaokimbia sana kiwanjani , kulikuwa na matumizi ya mipira mingi mirefu , power play...
  5. Kikosi Cha Simbasc Kinachoanza Dhidi Ya Cs Sfaxien Leo January 05,2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Kikosi Cha Simbasc Kinachoanza Dhidi Ya Cs Sfaxien Leo January 05,2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Kikosi cha Simba SC kinachoanza dhidi ya CS Sfaxien 🇲🇱Moussa CAMARA (GK) 🇹🇿Shomari KAPOMBE 🇹🇿Mohammed HUSSEIN (C) 🇹🇿Abdulrazak HAMZA 🇨🇲Che MELONE 🇹🇿Yusuf KAGOMA 🇹🇿Kibu DENIS 🇨🇩Fabrice NGOMA 🇨🇲Leonel ATEBA 🇨🇮Jean AHOUA 🇨🇩Elie MPANZU Kila la heri simba sports club
  6. Kuelekea Mchezo Wa Leo: Cs sfaxien vs Simba sports club TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Kuelekea Mchezo Wa Leo: Cs sfaxien vs Simba sports club TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    CS Sfaxien wako nyumbani leo kwenye kampeni yao kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho na wanacheza dimbani kucheza na Simba Sc. Sfaxien hawajashinda mchezo wowote katika michezo mitatu waliyocheza na wako mkiani wakiwa hawana alama yoyote mpaka sasa huku wakiwa wameruhusu mabao 6...
  7. Kikosi Cha Simbasc vs Cs Sfaxien Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Kikosi Cha Simbasc vs Cs Sfaxien Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    KIKOSI Cha Simba Sports Club Dhidi Ya Cs Sfaxien Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC Klabu ya Simba itakuwa ugenini Leo kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Ya Shirikisho Africa CAFCC dhidi ya Cs Sfaxien ya Tunisia. Mchezo huo utapigwa Leo January 05, 2025 kwenye Uwanja wa stade Rades Tunis...
  8. Mkutano Na Waandishi Wa Habari Nchini Tunisia, Simba Sports Club Kuelekea Mchezo Wa Leo January 05, 2025 CAFCC

    Mkutano Na Waandishi Wa Habari Nchini Tunisia, Simba Sports Club Kuelekea Mchezo Wa Leo January 05, 2025 CAFCC

    Kocha Mkuu wa klabu ya Simba sports club Fadlu Davids ameweka wazi kuwa mchezo wa leo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika (𝗧𝗼𝘁𝗮𝗹𝗘𝗻𝗲𝗿𝗴𝗶𝗲𝘀𝗖𝗔𝗙𝗖𝗖) dhidi ya CS Sfaxien utakuwa mgumu kutokana na ubora wa wapinzani Kocha Fadlu amesema pamoja na CS Sfaxien kufanya mabadiliko kwenye benchi la...
  9. Mzamiru Afunguka Kuelekea Mchezo Wa Kesho Jumapili 05 January 2025.

    Mzamiru Afunguka Kuelekea Mchezo Wa Kesho Jumapili 05 January 2025.

    KIUNGO wa Simba Mzamiru Yassin amesema mechi yao ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF CC) dhidi ya Sfaxien ya Tunisia haitakuwa nyepesi wanahitaji jitihada, umakini na nguvu kuhakikisha wanapata matokeo. “Mechi za ugenini huwa ni ngumu haijalishi umecheza na timu gani tunatakiwa tuwe makini, mtu...
  10. Simba Yaanza Mazoezi Nchini Tunisia Leo 02 January 2025.

    Simba Yaanza Mazoezi Nchini Tunisia Leo 02 January 2025.

    Kikosi cha Simba Sports Club kimefanya mazoezi ya kwanza nchini Tunisia tayari kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika 𝗧𝗼𝘁𝗮𝗹𝗘𝗻𝗲𝗿𝗴𝗶𝗲𝘀𝗖𝗔𝗙𝗖𝗖 dhidi ya CS Sfaxien🇹🇳 utakaopigwa Jumapili Januari 5. Mazoezi hayo yamefanyika katika Uwanja wa nje wa Olympique De R – Tunis ambao...
  11. Msimamo Leo 28 December 2024: Nbc Premium league 2024/2025.

    Msimamo Leo 28 December 2024: Nbc Premium league 2024/2025.

    Simba anaendelea kusalia pale juu nafasi ya kwanza na alama 40 akishinda michezo 13 sale 1 na kupoteza 1 huku akifunga mabao 31 na kuruhusu mabao 5 pekee. Simba amekamilisha michezo yake yote ya Ungwe ya kwanza. Yanga mwenye alama 36 Nyuma ya Simba huku akiwa na Mchezo mmoja mkononi kukamilisha...
  12. Mchezo Umetamatika: Singida bs 0 vs 1 Simbasc Nbc PL 2024/2025

    Mchezo Umetamatika: Singida bs 0 vs 1 Simbasc Nbc PL 2024/2025

    Plan ya Fadlu Davids imeanzia kWa huyu mwamba “Jean Charles Ahoua” wakati timu inashambulia kuwa na uharaka wa kufanya maamuzi na pass sahihi kwenda mbele 👏 Ahoua akiwa na mali Kibu anakuwa wides zaidi the same na Mpanzu + Mukwala sio standing straiker anamove nafasi nyingine (spaces zinakuwa...
  13. Mapumziko: Singida BS 0 vs 1 Simbasc Nbc PL

    Mapumziko: Singida BS 0 vs 1 Simbasc Nbc PL

    Game bora kuishuudia…. High intensity 🔥 Simba wanaunda mashambulizi kwa uharaka sana kwa kutumia mawings wao (Mpanzu na Kibu) ambao wanakuwa wides sana : Simba wanaanza Build Up vizuri sana wanaipita pressing ya Singida kwa pasi fupi fupi + Position ya viungo wao 👍 Singida hawakuzuia wakiwa...
  14. Kuelekea Mchezo Wa Leo December 28, 2024: Singida black star vs Simba sports club Nbc PL 2024/2025

    Kuelekea Mchezo Wa Leo December 28, 2024: Singida black star vs Simba sports club Nbc PL 2024/2025

    Mechi ya leo kwa Simba ni moja kati ya mechi ngumu sana msimu huu,wanakutana na timu bora sana kiwanjan Nje ya uwanja wapinzani wanaamini kwa trend ya matokeo ya Simba hivi karibuni hii mechi wanakwenda kupoteza! Changamoto kwa Nswanzurimo ni game approach kwenye huu mchezo, akipokea maelekezo...
  15. Wawili Simba sports club Kuikosa Singida black star Leo 28 December 2024.

    Wawili Simba sports club Kuikosa Singida black star Leo 28 December 2024.

    Wawili Simba Kuikosa Singida Black Stars Leo Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba SC, Fadlu Davids amesema kuwa Kikosi chake kiko tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Singida Black Stars ambao utapigwa Leo Jumamosi katika uwanja wa CCM LITI. Akizungumza katika Mkutano na wanahabari jana, Fadlu...
  16. Viingilio Singida Black Stars vs Simba SC Leo 28 December 2024

    Viingilio Singida Black Stars vs Simba SC Leo 28 December 2024

    Klabu ya Singida Black Stars imetangaza viingilio vya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Simba SC. Mchezo huo utapigwa Leo Jumamosi tarehe 28 December 2024, kuanzia saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa CCM Liti, Mkoani Singida. Viingilio hivo vimetajwa kuwa Kwa mzunguuko itakuwa ni Tsh 10,000, huku...
  17. Michezo Ya Leo Jumamosi 28 December 2024

    Michezo Ya Leo Jumamosi 28 December 2024

    Hii hapa Ratiba ya Mechi za Leo Jumamosi 28 December 2024 Tanzania – Premier League 16:00 Singida Black Stars vs Simba SC 18:15 Dodoma Jiji FC vs Mashujaa Italy – Serie A 17:00 Empoli vs Genoa 17:00 Parma vs Monza 20:00 Cagliari vs Inter Milan 22:45 Lazio vs Atalanta Portugal – Primeira Liga...
  18. Mchezo Umetamatika: Simba sc 1 vs 0 Jkt Tanzania, Nbc Premium league 2024/2025.

    Mchezo Umetamatika: Simba sc 1 vs 0 Jkt Tanzania, Nbc Premium league 2024/2025.

    Performance bora kutoka kwa kipa Wa JKT,Yakoub Suleiman🙌 Kipindi cha kwanza amefanya saves Za kutosha ila ile ya kichwa cha Ateba inaweza kuwa Save bora ya mwaka. Jamaa yuko active Muda wote,anasoma vizuri movement Za Wachezaji Wa Simba kabla hawajapiga. Simba iliwabidi kutumia njia mbadala...
  19. Mapumziko: Simbasc 0 vs 0 Jkt Tanzania, Nbc Premium league 2024/2025

    Mapumziko: Simbasc 0 vs 0 Jkt Tanzania, Nbc Premium league 2024/2025

  20. Siku Ya Mchezo: Simbasc vs Jkt Tanzania Leo 24 December 2024, Nbc Premium league.

    Siku Ya Mchezo: Simbasc vs Jkt Tanzania Leo 24 December 2024, Nbc Premium league.

    Leo saa 10 jioni kikosi Cha Simba sports club kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili JKT Tanzania katika muendeleo wa Ligi Kuu ya NBC. Hapana shaka mchezo wa leo utakuwa mgumu kutokana na JKT kuundwa na nyota wengi wazoefu ambao walicheza kwenye kikosi cha Simba sports club kwa nyakati...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom