Kuchelewa kutuma documents kwa dk chache

Kuchelewa kutuma documents kwa dk chache

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

fedrick

New member

Joined
Apr 24, 2026
Messages
2
habari mimi ni mgeni kidog kwenye mambo ya kuapply kazi Sasa Kuna tangazo moja la intern kwenye kampuni ya logistics Sasa mimi nilifanya application kwa kuchelewa dk 10 maana walisema "We appreciate your prompt response upon receiving this email within 24 hours". Walisema hviii na mimi email nilijibiwa saa 9:31 asubhi mim nikaja kutuma vitu walivyoniambia niwatumie saa 9:40 na mbaya zaidi documents ziliitajika kutumwa ni 5 nikatuma 4 na kama baada ya dk 1 nikatuma follow up email ambapo documents nyengine ndo nikaituma je kutakua na shida yoyote hapo
 
Back
Top Bottom