Mapumziko Michezo Ya Leo TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

Mapumziko Michezo Ya Leo TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Michezo ya mapema Leo Kombe la shirikisho Africa CAFCC imefika mapumziko huku Simba wakiongoza ugenini Dhidi ya Cs Sfaxien ya Tunisia, huku Stellenbosch FC wakiwa suruhu Dhidi ya CD Lunda sul, Asc Jaraaf wakiwa sale ya bila bila Dhidi ya Orapa United huku Asec mimosa akiongoza Goli Moja Dhidi ya USM Alger na Mchezo mwingine Al Masry sc wakiwa suruhu Dhidi Ya Zamarek na Enyimba Fc wakiongoza mbili Kwa Moja Dhidi Ya Associacao black bull's.
FB_IMG_1736095774720.webp
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom