Michezo Imetamatika Michuano Ya Kombe La Shirikisho Africa TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

Michezo Imetamatika Michuano Ya Kombe La Shirikisho Africa TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Michezo ya mapema kabisa Leo Kwenye Kombe la shirikisho Africa CAFCC Imetamatika huku Simba Mnyama akipata Ushindi wake wa kwanza katika ardhi ya mwarabu nchini Tunisia ambapo ameondoka na Ushindi wa Goli Moja Kwa bila Dhidi ya Cs Sfaxien,

Huku Stellenbosch FC wakishinda mbili bila Dhidi ya CD Lunda sul na ASC Jaraaf akishinda bao Moja Dhidi ya Orapa United huku Asec mimosa wakitoka suruhu ya bao Moja Kwa Moja Dhidi ya USM Alger na Al Masry sc wakiwa suruhu Dhidi ya Zamarek huku Enyimba Fc wakishinda bao nne Kwa Moja Dhidi ya Associacao black bull's.
FB_IMG_1736100491733.webp
 
Back
Top Bottom