Michezo ya Leo Ligi ya mabingwa Africa (CAFCL) na Ligi ya shirikisho Africa (CAFCC)

Michezo ya Leo Ligi ya mabingwa Africa (CAFCL) na Ligi ya shirikisho Africa (CAFCC)

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Wawakirishi pekee wa Tanzania katika michuano ya shirikisho Africa Leo Simba sports club kukipinga na CS SFAXIEN saa 10:00 jioni, uwanja wa Mkapa Tanzania

Simba sports club Kwa Sasa wanashika nafasi ya pili wakiwa na alama tatu Nyuma ya kinara wa kundi Cs Constantine ya Algeria yenye alama 6 nayo kushuka Leo ugenini kukipiga na FC Bravos Do Maquis inayoshika nafasi ya mwisho Kwenye kundi hilo.

FB_IMG_1734257817326.webp


Huku michuano ya kilabu bingwa Africa kuendelea kutimua vumbi Kwa michezo miwili, Mabingwa wa Africa super league Manelodi sundowns wakiwakaribisha Raja Casablanca, pia mchezo mwingine Djoliba Ac De Bamako wakiwakaribisha Gd Sagrada Esperanca.
FB_IMG_1734257823824.webp
 
Back
Top Bottom