Nafasi za kazi Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Ajira Mpya NBAA December 2024

Nafasi za kazi Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Ajira Mpya NBAA December 2024

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.

GiftVerified member

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,187
Wananchi, Hizi hapa Nafasi za kazi Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Ajira Mpya NBAA December 2024, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inakaribisha Watanzania wenye sifa, uzoefu, na bidii kushiriki kujaza nafasi mbili za kazi: Mkurugenzi wa Huduma za Wanachama na Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kisheria.

Ajira mpya NBAA​

NBAA ni taasisi huru inayosimamia taaluma ya uhasibu na ukaguzi wa hesabu, iliyoundwa chini ya Sheria ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (Registration Act), Sura ya 286, na inafanya kazi chini ya Wizara inayohusika na masuala ya Fedha. Bodi hii ilianzishwa mwaka 1972 na kuanza rasmi shughuli zake tarehe 15 Januari 1973.
Nafasi za kazi Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Ajira Mpya NBAA December 2024

Tangu kuanzishwa kwake, NBAA imechangia kwa kiasi kikubwa katika kuendeleza taaluma ya uhasibu nchini Tanzania, hasa kwenye masuala ya kukuza taaluma, usajili wa wahasibu, kuweka viwango vya kitaaluma, usimamizi wa sheria, na mitihani. NBAA inalenga kuchangia utawala bora kwa kukuza taaluma ya uhasibu ili kuboresha taarifa za kifedha nchini Tanzania.

Nafasi za kazi NBAA​

Pakua PDF hapa chini kama utakuwa na swali uliza.
 

Attachments

Last edited:
Back
Top Bottom