Nafasi za kazi Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Ajira Mpya NBAA December 2024

Nafasi za kazi Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Ajira Mpya NBAA December 2024

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,732
Wananchi, Hizi hapa Nafasi za kazi Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Ajira Mpya NBAA December 2024, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inakaribisha Watanzania wenye sifa, uzoefu, na bidii kushiriki kujaza nafasi mbili za kazi: Mkurugenzi wa Huduma za Wanachama na Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kisheria.

Ajira mpya NBAA​

NBAA ni taasisi huru inayosimamia taaluma ya uhasibu na ukaguzi wa hesabu, iliyoundwa chini ya Sheria ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (Registration Act), Sura ya 286, na inafanya kazi chini ya Wizara inayohusika na masuala ya Fedha. Bodi hii ilianzishwa mwaka 1972 na kuanza rasmi shughuli zake tarehe 15 Januari 1973.
Nafasi za kazi Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Ajira Mpya NBAA December 2024

Tangu kuanzishwa kwake, NBAA imechangia kwa kiasi kikubwa katika kuendeleza taaluma ya uhasibu nchini Tanzania, hasa kwenye masuala ya kukuza taaluma, usajili wa wahasibu, kuweka viwango vya kitaaluma, usimamizi wa sheria, na mitihani. NBAA inalenga kuchangia utawala bora kwa kukuza taaluma ya uhasibu ili kuboresha taarifa za kifedha nchini Tanzania.

Nafasi za kazi NBAA​

Pakua PDF hapa chini kama utakuwa na swali uliza.
 

Download PDF

Last edited:
Back
Top Bottom