S

Nafasi za Kazi Wilaya ya Missenyi - Utumishi Octoba 2024

NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Sia

Moderator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 20, 2024
Messages
1,307
Leo tarehe 26/10/2024 Sekretarieti ya Ajira imetangaza nafasi za kazi kupitia Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi amepokea Kibali cha Ajira Mpya kutoka kwa Katibu Mkuu – ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kupitia baru ayenye Kumb. Na. FA.97/228/01/09 ya tarehe 25.06.2024. Hivyo anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa za kujaza nafasi zifuatazo:-

Nafasi zilizo tangazwa​

1. Dereva Daraja la II - Nafasi 3
  • Awe amehitimu Elimu ya kidato cha nne (IV) au sita (VI) awe na Lesseni ya Daraja la C au E ya uendeshaji wa magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja bila kusababisha ajali.
Soma makala zaidi:
  1. Utofauti wa Kufika Kileleni kwa Wanawake
 
Back
Top Bottom