Nafasi za Kazi Wilaya ya Missenyi - Utumishi Octoba 2024

Nafasi za Kazi Wilaya ya Missenyi - Utumishi Octoba 2024

Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa

Sia

Moderator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 20, 2024
Messages
1,612
Leo tarehe 26/10/2024 Sekretarieti ya Ajira imetangaza nafasi za kazi kupitia Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi amepokea Kibali cha Ajira Mpya kutoka kwa Katibu Mkuu – ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kupitia baru ayenye Kumb. Na. FA.97/228/01/09 ya tarehe 25.06.2024. Hivyo anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa za kujaza nafasi zifuatazo:-

Nafasi zilizo tangazwa​

1. Dereva Daraja la II - Nafasi 3
  • Awe amehitimu Elimu ya kidato cha nne (IV) au sita (VI) awe na Lesseni ya Daraja la C au E ya uendeshaji wa magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja bila kusababisha ajali.
Soma makala zaidi:
  1. Utofauti wa Kufika Kileleni kwa Wanawake
 
Back
Top Bottom