Hellow everybody, sorry jaman hivi ni kwa namna gani naweza tengeneza CV yangu after finishing university? Nachohitaji jamani sitaki yale masuala sijui umemaliza chuo unaenda mara stationary ndiyo wakuombee kwa kila tangazo la kazi litakalokuwa linatangazwa. Hapana nahitaji niwe nayo kwenye elektroniki devices
NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Similar content
Most view
View more