Nawezaje kuedit profile yangu hasa kwenye personal information nmekosea kujaza place of birth nimejaza nilipo sasaivi badala ya kujaza mkoa nlipozaliwa, nlikosea kusoma maelezo, naomba msaada please, imebaki hapo tu ili nmelizie application
NAWEZAJE KU,EDIT PROFILE YANGU AJIRA ZA UHAMIAJI?
- Thread starter Kayombo
- Start date
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026