Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili INEC Jimbo la Mufindi December 2024

Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili INEC Jimbo la Mufindi December 2024

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Gift

Administrator

Staff member
Reputation: 100%
Joined
Oct 19, 2024
Messages
1,745
Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili INEC Ofisi ya Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Mufindi Kaskazini katika Jimbo la Mufindi Kusini inapenda kuwataarifu waombaji wote waliopendekezwa kwa nafasi za kazi za Waandishi Wasadizi na Waendeshaji wa Vifaa vya Bayometriki. Usaili wa nafasi hizo utafanyika siku ya Jumanne, tarehe 10/12/2024, kuanzia saa 3:00 asubuhi katika vituo vifuatavyo:

Usaili INEC Jimbo la Mufindi​

  1. Tarafa ya Ifwagi - Ukumbi wa Bomani, Mafinga.
  2. Tarafa ya Sadani - Shule ya Sekondari Sadani.
  3. Tarafa ya Malangali - Shule ya Sekondari Mbalamaziwa.
  4. Tarafa ya Kibengu - Shule ya Msingi Usokami.
  5. Tarafa ya Kasanga - Shule ya Msingi Igowole.
Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili INEC Jimbo la Mufindi December 2024

Tafadhali zingatia yafuatayo:
  1. Hakikisha unafika kwa muda na mahali palipotajwa kwa ajili ya usaili.
  2. Orodha ya waombaji waliopendekezwa kwa kila Tarafa imeambatanishwa na barua hii.
Pakua PDF hapa chini.
 

Download PDF

Back
Top Bottom