SEHEMU YA KUJAZA TAARIFA ZA ELIMU MFUMO WA AJIRA POLISI

SEHEMU YA KUJAZA TAARIFA ZA ELIMU MFUMO WA AJIRA POLISI

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

NYANDU

New member

Reputation: 1%
Joined
Nov 29, 2024
Messages
1
1.Nimeweka elimu mfumo wa ajira wa police lakini education status inaandika pending.. je ni kwangu tu au ndo mfumo upo hivyo kwahiyo niendelee tu kutuma maombi..?

2. ukitumia search mode, mfumo hauruhusu kupakia cheti wala transcript..je nikisubmitt haina shida niendelee na sehemu zingine..?
 
  • Like
Reactions: Sia
1.Nimeweka elimu mfumo wa ajira wa police lakini education status inaandika pending.. je ni kwangu tu au ndo mfumo upo hivyo kwahiyo niendelee tu kutuma maombi..?

2. ukitumia search mode, mfumo hauruhusu kupakia cheti wala transcript..je nikisubmitt haina shida niendelee na sehemu zingine..?
1. Hiyo Education status nahisi ni kwako tu au kuna kitu umekiruka hakiki upya

2. Itakuwa ni swala la mfumo tu jaribu mara kwa mara
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom