- Joined
- Dec 12, 2024
- Messages
- 194
Mara ya mwisho Yanga kucheza dhidi ya Tp Mazembe pale Lubumbashi , Farid Mussa ndio mchezaji aliyezamisha meli ya vijana wa Moise Katumbi kwenye kombe la Shirikisho Afrika ….. leo wanakutana kwenye CAFCL 
Kila la Kheri Wananchi

Kila la Kheri Wananchi

Attachments