- Joined
- Dec 12, 2024
- Messages
- 194
Mara ya mwisho Yanga kucheza dhidi ya Tp Mazembe pale Lubumbashi , Farid Mussa ndio mchezaji aliyezamisha meli ya vijana wa Moise Katumbi kwenye kombe la Shirikisho Afrika ….. leo wanakutana kwenye CAFCL 
Kila la Kheri Wananchi

Kila la Kheri Wananchi

Download PDF