Wachezaji Simba sports club Wapewa Mapumziko.

Wachezaji Simba sports club Wapewa Mapumziko.

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Kocha Fadlu Davids amewapa mapumziko ya siku mbili wachezaji wake ambapo ni leo na kesho Jumatatu

Kikosi kitarejea mazoezini Jumanne asubuhi na jioni kitaanza safari kuelekea Tunisia kwaajili ya mchezo wa CAFCC dhidi ya CS Sfaxien utakaochezwa jumapili ya Januari 5 mwakani 2025

Simba watafika Tunisia Jumatano na watafanya mazoezi kwa siku 4 kabla ya mchezo.
FB_IMG_1735469687356.webp

Huku Kiungo Fundi Jean Ahoua amemaliza mzunguko wa kwanza.

Goli 7
Assist 5
IMG-20241224-WA0035.webp
 
Back
Top Bottom