A

YAH; KUANGALIZIWA SEHEMU YA KUFANYIA INTERVIEW, HYDROLOGISTS.

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Angela mwapinga

New member

Reputation: 1%
Joined
Apr 18, 2025
Messages
1
Usaili unafanya tarehe ngapi?
Samahani, naomba kuangaliziwa jina langu angela alberto mwapinga ' hydrologists 'nafanyia interview mkoa gani, kwasababu kwenye list ya majina ya interview imeandikwa iringa adress yangu lakini juzi nilibadili nikaandika dar es salaam, sasa sijajua imetumika adress ipi naomba msaada wa kuangaliziwa ili nisije nikakosea nikaenda sehemu sio sahihi
 
Walioitwa kwenye usaili kuanzia tarehe 23-25 Aprili 2025.webp

Mkoa wako uko kanda gani?
 
Similar threads Most view View more
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom