YAH; KUANGALIZIWA SEHEMU YA KUFANYIA INTERVIEW, HYDROLOGISTS.

YAH; KUANGALIZIWA SEHEMU YA KUFANYIA INTERVIEW, HYDROLOGISTS.

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Angela mwapinga

New member

Reputation: 1%
Joined
Apr 18, 2025
Messages
1
Usaili unafanya tarehe ngapi?
Samahani, naomba kuangaliziwa jina langu angela alberto mwapinga ' hydrologists 'nafanyia interview mkoa gani, kwasababu kwenye list ya majina ya interview imeandikwa iringa adress yangu lakini juzi nilibadili nikaandika dar es salaam, sasa sijajua imetumika adress ipi naomba msaada wa kuangaliziwa ili nisije nikakosea nikaenda sehemu sio sahihi
 
Walioitwa kwenye usaili kuanzia tarehe 23-25 Aprili 2025.webp

Mkoa wako uko kanda gani?
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom