Featured content

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Thread 'Nafasi za Kazi Shule ya Sekondari St Peter’s'
Uongozi wa Shule ya Sekondari St. Peter’s unapenda kuwatangazia wananchi wote nafasi ya kazi ya ualimu katika masomo yafuatayo; 1. Mwalimu masomo ya Basic Mathematics na Physics – Nafasi 1 2. Mwalimu masomo ya Chemistry na Biology / Chemistry na Mathematics – Nafasi 1 3. Mwalimu masomo ya History na Kiswahili – Nafasi 1 4. Mwalimu masomo ya Geography na English Language – Nafasi 1
Thread 'Nafasi za Kazi Lufingo & Sons'
Hizi hapa Nafasi za Kazi Lufingo & Sons zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye nia, sifa na vigezo vyote kwa kuzingatia hayo hapo chini.
Thread 'NAFASI ZA TABIBU MSAIDIZI II (CLINICAL ASSISTANT II) MDAs & LGAs'
Hizi hapa Nafasi za Tabibu Msaidizi daraja la pili (Clinical Assistant) kutoka MDAs & LGAs i. Kutoa huduma za kinga na tiba. ii. Kutambua na kutibu magonjwa. iii. Kutoa huduma ya Afya ya msingi (Primary Health Care). v.Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake. Kuajiriwa wenye Cheti cha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha IV ambao wamehitimu Mafunzo ya Miaka Miwili ya Tabibu Wasaidizi (Clinical Assistants Certificate). Tuma maombi...
Thread 'Nafasi za kazi CDL Tanzania'
Hizi hapa Nafasi za kazi CDL Tanzania zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye sifa kwa kufata vigezo vilivyo wekwa katika tangazo hili. Tuma hapa maombi sasa
Thread 'Nafasi za Intern IDEON Tanzania'
Hizi hapa Nafasi za Kazi IDEON Tanzania zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye sifa, ari na nia waweze kutuma maombi kuanzia sasa.
Resource 'Nafasi za kazi Matongo Gold Mine Limited (MGM) Januari 2025'
Hili hapa Tangazo la Nafasi za kazi Matongo Gold Mine Limited (MGM) Januari 2025 lililo tangazwa siku ya leo mapema.
Resource 'Nafasi za kazi Nyantira Mennonite Pre and Primary Schools Januari 2025'
Hili hapa Nafasi za kazi Nyantira Mennonite Pre and Primary Schools Januari 2025
Resource 'SAMPLE YA MASWALI INTERVIEW ZA UALIMU (USAILI WA WALIMU) NA TIPS ZA KUFANYA AJIRA PORTAL'
MLIOWAI KUFANYA SAILI KATIKA SHULE ZA PRIVATE AU SERIKALI WEKA HAPA SAMPLE YA MASWALI INTERVIEW ZA UALIMU (USAILI WA WALIMU) NA TIPS ZA KUFANYA AJIRA PORTAL. Mimi nimepata hayo Pitia kwa makini slides za CT na EP hususani maeneo kama vile; 1. Bloom Taxonomy 2. Professionalism of Education (Class Management na Types of student, Teaching techniques) 3. Curriculum (Scheme of Work, Lesson plan) 4. Education Research 5. Teaching Methods (Pedadogy in Education)
Resource 'Maswali ya interview (usaili) kwa kada ya ualimu Ajira Portal yapoje?'
Haya hapa Maswali ya interview ya ualimu (Usaili Wa Walimu) Ajira Portal katika nafasi za kazi mblimbali zilizo tangazwa na Utumishi Sekretarieti ya Ajira. Pitia haya maswali kwa umakini ujiweke katika njia sahihi. Maswali ya interview (usaili) kwa kada ya ualimu 1. Eleza maana ya “ELIMU”. 2. Taja sifa za mtu aliyeelimika. 3. Taja na fafanua njia kuu tatu za kupata elimu. 4. Taja na fafanua madhumuni manne ya elimu ambayo yanakidhi nchi zote duniani. 5. Chagua madhumuni matano kati ya...
Resource 'MASWALI YA USAILI KADA YA UALIMU INTERVIEW ZA AJIRA PORTAL USAILI WA WALIMU (LITERATURE)'
HAYA HAPO JUU MASWALI YA USAILI KADA YA UALIMU INTERVIEW ZA AJIRA PORTAL USAILI WA WALIMU (LITERATURE) Ni kitabu lakini ukiyapitia kwa umakini kwa kuzingatia lazima utapata kitu, hivyo kama kuna mtu ana maswali Join kwenye discussion hapo chini kisha andika au upload tafadhali. Maswali ya usaili kada ya Ualimu (Walimu) - Sera ya Elimu Maswali ya Interview kada ya Ualimu (Walimu) - Sera ya Elimu in English Kuandaa darasa - CT 100 EA 300 notisi zote EF 303 - Ethics
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom