You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an alternative browser.
You should upgrade or use an alternative browser.
Featured content
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hizi hapa Nafasi za Tabibu Msaidizi daraja la pili (Clinical Assistant) kutoka MDAs & LGAs
i. Kutoa huduma za kinga na tiba.
ii. Kutambua na kutibu magonjwa.
iii. Kutoa huduma ya Afya ya msingi (Primary Health Care).
v.Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.
Kuajiriwa wenye Cheti cha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha IV ambao wamehitimu Mafunzo ya Miaka Miwili ya Tabibu Wasaidizi (Clinical Assistants Certificate).
Tuma maombi...
MLIOWAI KUFANYA SAILI KATIKA SHULE ZA PRIVATE AU SERIKALI WEKA HAPA SAMPLE YA MASWALI INTERVIEW ZA UALIMU (USAILI WA WALIMU) NA TIPS ZA KUFANYA AJIRA PORTAL.
Mimi nimepata hayo
Pitia kwa makini slides za CT na EP hususani maeneo kama vile;
1. Bloom Taxonomy
2. Professionalism of Education (Class Management na Types of student, Teaching techniques)
3. Curriculum (Scheme of Work, Lesson plan)
4. Education Research
5. Teaching Methods (Pedadogy in Education)
Haya hapa Maswali ya interview ya ualimu (Usaili Wa Walimu) Ajira Portal katika nafasi za kazi mblimbali zilizo tangazwa na Utumishi Sekretarieti ya Ajira. Pitia haya maswali kwa umakini ujiweke katika njia sahihi.
Maswali ya interview (usaili) kwa kada ya ualimu
1. Eleza maana ya “ELIMU”.
2. Taja sifa za mtu aliyeelimika.
3. Taja na fafanua njia kuu tatu za kupata elimu.
4. Taja na fafanua madhumuni manne ya elimu ambayo yanakidhi nchi zote duniani.
5. Chagua madhumuni matano kati ya...
HAYA HAPO JUU MASWALI YA USAILI KADA YA UALIMU INTERVIEW ZA AJIRA PORTAL USAILI WA WALIMU (LITERATURE)
Ni kitabu lakini ukiyapitia kwa umakini kwa kuzingatia lazima utapata kitu, hivyo kama kuna mtu ana maswali Join kwenye discussion hapo chini kisha andika au upload tafadhali.
Maswali ya usaili kada ya Ualimu (Walimu) - Sera ya Elimu
Maswali ya Interview kada ya Ualimu (Walimu) - Sera ya Elimu in English
Kuandaa darasa - CT 100
EA 300 notisi zote
EF 303 - Ethics