You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an alternative browser.
You should upgrade or use an alternative browser.
Featured content
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi za Afisa Maendeleo ya Jamii daraja la Pili (Community Development Officer II) kutoka MDAs & LGAs zilizo tangazwa kupitia Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma (Ajira Portal).
Kuajiriwa wahitimu wa Shahada au Stashahada ya Juu ya Maendeleo ya Jamii kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali waliojiimarisha katika moja ya fani zifuatazo:- Maendeleo ya Jamii (Community Development), Elimu ya Jamii (Sociology), Masomo ya Maendeleo (Development Studies)...
Hizi hapa nafasi za kazi za Afisa Tehama daraja la pili (Programmer) kutoka MDAs & LGAs zilizo tangazwa kwa watanzania wote kupitia Ajira Portal.
Mwombaji awe na Stashahada ya juu au Shahada ya Kompyuta katika moja ya fani zifuatazo; Sayansi ya Kompyuta, Teknolojia ya Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na Menejimenti ya Mifumo ya Habari au mafunzo mengine yanayohusiana na fani hii, kutoka katika Vyuo au Taasisi za elimu ya juu zinazotambuliwa na Serikali.
Bonyeza hapa kutuma...
Hizi hapa nafasi za kazi za Daktari wa upasuaji wa kinywa na meno daraja la pili (Dental Surgeon II) kutoka MDAs & LGAs zilizo tangazwa kupitia Ajira Portal leo.
Kuajiriwa wenye shahada ya udaktari wa upasuaji wa kinywa na meno kutoka vyuo vinavyotambuliwa na serikali waliomaliza “Internship” na kusajiliwa na Baraza la Madaktari Tanganyika.
Bonyeza hapa kutuma maombi sasa
Hizi hapa Nafasi za Kazi za Direct Sales Officer 60 kwa kila tawi kutoka NBC ni benki kongwe zaidi nchini Tanzania yenye uzoefu wa zaidi ya miongo mitano. Tunatoa huduma mbalimbali zikiwemo za benki za rejareja, biashara, kampuni, uwekezaji, pamoja na usimamizi wa mali na bidhaa nyingine za kifedha.
Fursa ya Kazi: Wauzaji wa Moja kwa Moja – Nafasi 60 kwa kila tawi
Msimamizi: Meneja wa Maendeleo ya Biashara, Tawi husika
Eneo: Matawi yote ya NBC Bank yaliyoorodheshwa hapa chini
Muda wa...
Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam (DarTU), kilichokuwa kikijulikana kama TUDARCo, kipo kwenye mchakato wa mabadiliko makubwa ya kimkakati na kubadilisha chapa yake ili kuendana na maendeleo ya uchumi wa kidijitali na Mapinduzi ya Nne ya Viwanda (Industry 4.0). Kama sehemu ya mabadiliko haya, DarTU inatafuta waombaji wenye sifa, wenye bidii, na wabunifu kwa nafasi za Wahadhiri au Wahadhiri Wasaidizi katika fani za Sayansi ya Kompyuta na/au Usalama wa Mtandao, pamoja na Sheria na Haki...
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote waliomba kazi za muda mfupi zilizotangazwa tarehe 04 Decemba, 2024 kuwa, usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 10/01/2025 hadi tarehe 13/01/2025 na hatimaye kuwapa vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa watakaotakiwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:
Usaili utafanyika kwa siku tatu kuanzia tarehe 10 Januari, 2025 hadi tarehe 13 Januari, 2025 katika Ukumbi Mdogo wa Ofisi...
Hizi hapa nafasi za kazi Afisa Afya Mazingira Msaidizi daraja la pili (Assistant Environmental Health Officer) kutoka MDAs & LGAs
Kuajiriwa wenye Stashahada ya Sayansi ya Afya ya Mazingira kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali na wawe amesajiliwa na Bodi ya Wataalamu wa Afya Mazingira.
Tuma maombi hapa sasa