You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an alternative browser.
You should upgrade or use an alternative browser.
Featured content
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
SENAPA SACCOS LTD nichama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha wafanyakazi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania kilichopo katika Hifadhi ya Taifa Serengeti. Chama hiki kilianzishwa kupitia sheria namba 06ya mwaka 2013. SENAPA SACCOS LTD kinatangaza nafasi ya kazi ya mhasibu wa chama kwa mwenye sifa zifuatazo,
TAARIFA KUHUSU USAILI WA KADA ZA UALIMU 2024/2025 AJIRA PORTAL - UTUMISHI AJIRA ZA WALIMU 2025
Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ilitoa taarifa ya kusitishwa usaili wa Walimu tarehe 17 Oktoba, 2024 ambapo taarifa hiyo ilitokana na tangazo la kuitwa kwenye usaili la terehe 15 Oktoba, 2024.
Hivyo, kupitia tangazo hili, Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwatangazia waombaji kazi wote wa Kada za Ualimu ambao usaili wao...
Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ilitoa taarifa ya kusitishwa usaili wa Walimu tarehe 17 Oktoba, 2024 ambapo taarifa hiyo ilitokana na tangazo la kuitwa kwenye usaili la terehe 15 Oktoba, 2024.
Hivyo, kupitia tangazo hili, Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwatangazia waombaji kazi wote wa Kada za Ualimu ambao usaili wao ulisitishwa kwa muda kuwa usaili huo utafanyika kuanzia terehe 14 Januari, 2025 mpaka tarehe 24...
Hii hapa Majina 418 ya Walioitwa Kuanza Uzalishaji Programu ya BBT Wizara ya Kilimo inawatangazia vijana 418 waliopangiwa shamba la Mlazo/Ndogowe kwamba wanapaswa kuwasili shambani kwa ajili ya kuanza uzalishaji katika msimu huu wa kilimo.
Ratiba ya Kuwasili
Utaratibu wa kuwasili umegawanywa katika makundi mawili:
Kundi la Kwanza: Vijana 209 wataripoti tarehe 12 Januari 2025.
Kundi la Pili: Vijana 209 wataripoti tarehe 13 Januari 2025.
Soma zaidi: Matokeo ya Kidato cha Pili 2024 Form Two...
Leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Zanzibar Dkt. Rashid Abdul-azizi Mukki akitoa taarifa ya ufaulu wa kimasomo Katika Mtihani wa Taifa wa Darasa la Saba kwa Mwaka 2024.
Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Zanzibar Dkt. Rashid Abdul-azizi Mukki leo tarehe 30/12/2024 ametangaza matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Darasa la Saba katika ukumbi wa mkutano wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar.
Aidha matokeo hayo yanaonesha kuongezeka kwa ufaulu kutoka 95.0 mwaka...