Ajira

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa na Makampuni Mbali mbali kutoka Tanzania, Sector Binafsi na Ajira za Serikalini.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
CVPeople Tanzania ilianzishwa mwaka 2014 kwa bajeti ndogo kama sehemu ya franchise ya kimataifa inayojulikana kama CVPeople Africa. Kampuni hii inatoa huduma za Vipaji na Uajiri. Baada ya kuwa...
Replies
0
Views
1K
Hili hapa Tangazo la Nafasi za kazi Alexia Hospital November 2024 lililo tangazwa kwa watanzania wote wenye nia, ari na sifa waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo.
Replies
0
Views
763
Hizi hapa Nafasi za kazi Paylon LTD November 2024. Kampuni ya Fintech inayofanya kazi jijini Dar es Salaam, Tanzania, inatafuta kuajiri Afisa wa Hatari na Uzingatiaji (Risk and Compliance Officer)...
Replies
0
Views
603
Kwa niaba ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inakaribisha Watanzania wenye sifa na uwezo unaohitajika kuomba nafasi kumi (10) za kazi...
Replies
0
Views
1K
Hizi hapa Nafasi za kazi AIRCOM Tanzania November 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye sifa kuanzia leo waweze kutuma maombi.
Replies
0
Views
910
Hizi hapa Nafasi za kazi KEDS Tanzania LTD November 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye nia, sifa na ari waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo mapema.
Replies
3
Views
984
Nahitaji vijana 20 wa Sales representative Kampuni ya Jubilee Insurance Leta CV yako ukonga Magereza Call 0679002986
Replies
2
Views
899
Hii hapa Orodha ya Majina ya walioitwa kwenye Usaili Mkoa wa Geita | Ajira za Shirika la ICAP november 2024, Katibu Tawala Mkoa wa Geita anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote, kupitia tangazo la...
Replies
0
Views
2K
Hili hapa Tangazo la nafasi za kazi kutoka Bariadi November 2024. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi amepokea kibali cha ajira mpya katika mwaka wa fedha 2023/2024 chenye...
Replies
0
Views
971
Maswali ya usaili kuhusu utendaji wa mtaa yanahusiana na masuala ya maendeleo, changamoto, na mikakati ya kuboresha huduma katika jamii. Haya ni baadhi ya maswali ambayo yanaweza kuulizwa: 1...
Replies
0
Views
550
Back
Top Bottom