ajira

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. G

    Kipi kianze baada ya kumaliza Chuo?

    Ebu ongea ungependa kianze nini ikiwa umemaliza Chuo tu. Ni hatua gani itaanza katika safari yako ya maisha baada ya masomo Nyumba Gari Ndoa Ajira Kujiajiri Chagua namba na sema kwa nini.
  2. Nafasi za kazi 36 MDH December 2024

    Nafasi za kazi 36 MDH December 2024

    Nafasi za kazi 36 Management and Development for Health (MDH) ni shirika lisilo la kiserikali na lisilo la kifaida, linalolenga kusaidia kukabiliana na changamoto za afya ya umma kwa Watanzania na dunia kwa ujumla. Vipaumbele vya shirika hili ni pamoja na magonjwa ya kuambukiza kama vile UKIMWI...
  3. Nafasi za kazi TICGL December 2024

    Nafasi za kazi TICGL December 2024

    Tanzania Investment and Consultant Group Limited (TICGL) ni kampuni inayotoa huduma za ushauri na kusaidia uwekezaji kwa lengo la kukuza uchumi na maendeleo endelevu hapa Tanzania. Tunashughulika na kusaidia biashara kwa ushauri wa uwekezaji, uchambuzi wa kiuchumi, na mafunzo ya kuimarisha uwezo...
  4. Nafasi za kazi AKO GROUP Disemba 2024

    Nafasi za kazi AKO GROUP Disemba 2024

    AKO GROUP LIMITED ilianzishwa jijini Dar es Salaam mwaka 1991 na ni kampuni tanzu ya SF Group of Companies Limited. Kampuni hii ilianzishwa kwa lengo la kuleta ubunifu katika sekta ya huduma za chakula nchini Tanzania kwa kutoa huduma bora zinazokidhi viwango vya kimataifa kupitia kampuni ya...
  5. Nafasi za kazi Taasis ya Bima ya Tanzania December 2024

    Nafasi za kazi Taasis ya Bima ya Tanzania December 2024

    Hizi hapa nafasi za kazi zilizo tangazwa na Taasis ya Bima ya Tanzania ilisajiliwa na Wizara ya Mambo ya Ndani mwaka 1996 kama tawi la ndani la Taasisi ya Bima ya Chartered (CII) ya London. Hadi sasa, Taasisi ya Bima ya Tanzania inaendelea kufanya kazi kama mshirika wa chama cha wataalamu wa...
  6. Nafasi za kazi 11 Wilaya ya Mpwapwa December 2024

    Nafasi za kazi 11 Wilaya ya Mpwapwa December 2024

    Wananchi, Hizi hapa Nafasi za kazi 11 Wilaya ya Mpwapwa December 2024. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa anawatangazia Wananchi wote Raia wa Tanzania wenye sifa zinazohitajika kuomba kujaza nafasi wazi baada ya kupokea vibali vyaa ajira Mpya chenye Kumb Na. FA. 97/228/01/09...
  7. Nafasi za kazi Nesch Mintech Desemba 2024

    Nafasi za kazi Nesch Mintech Desemba 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi Nesch Mintech Desemba 2024. Mkurugenzi wa Shughuli za Maabara atahusika na kusimamia shughuli zote za maabara, kuhakikisha kazi zinafanyika kwa ufanisi na kutekeleza mipango ya kimkakati. Nafasi hii inahitaji uongozi thabiti, ujuzi mzuri wa usimamizi, na ufahamu wa kina...
  8. Nafasi za kazi Tazama Pipelines Limited December 2024

    Nafasi za kazi Tazama Pipelines Limited December 2024

    Tazama Pipelines Limited ni kampuni muhimu ya miundombinu ya nishati, inayosafirisha bidhaa za mafuta yaliyosafishwa kutoka Dar es Salaam hadi Zambia na Malawi. Kama mradi mkubwa wa miundombinu, Tazama Pipelines Limited inatoa fursa mbalimbali za ajira katika idara tofauti. Pakua PDF hapa chini
  9. Nafasi za kazi Amref Health Africa leo Tarehe 16 December 2024

    Nafasi za kazi Amref Health Africa leo Tarehe 16 December 2024

    Amref Health Africa ilianzishwa mwaka 1957 na tangu wakati huo imekua hadi kuwa shirika kubwa zaidi la kimataifa lenye mizizi barani Afrika linalojikita kwenye maendeleo ya afya. Kwa sasa, Amref inatekeleza zaidi ya programu 120 zinazofikia moja kwa moja watu zaidi ya milioni 12 katika nchi 35...
  10. Nafasi za kazi Kuunda Disemba 2024

    Nafasi za kazi Kuunda Disemba 2024

    Kuunda ni kampuni ya kifedha inayojikita katika teknolojia ya kidijitali kwa biashara (B2B), inayosaidia sekta isiyo rasmi kupata mtaji kupitia APIs za kifedha na mifumo ya kipekee ya upimaji wa uwezo wa kukopa (credit scoring). Kampuni hii hutumia data ya tabia na miamala ya watumiaji...
  11. Nafasi za kazi JAM MAONO December 2024

    Nafasi za kazi JAM MAONO December 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi Chama cha ushirika wa Akiba na Mikopo cha JAM MAONO LIMITED, Arusha katika mpango mkakati wake wa kupanua wigo wa kutoa huduma imeanzisha huduma za uwakala wa fedha kwa mitandao ya simu na huduma za uwakala wa benki kupitia ofisi zake zilizopo eneo la Kimandolu – Jimbo...
  12. Nafasi za kazi 60 Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya Disemba 2024

    Nafasi za kazi 60 Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya Disemba 2024

    Nafasi za kazi 60 Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya linamiliki na kuendesha taasisi za Afya katika Mikoa ya Mbeya na Songwe. Jimbo linayo furaha kutangaza nafasi za kazi kwa watanzania wote wenye sifa stahiki zilizoanishwa hapa chini watakao fanya kazi katika Vituo vifuatavyo: Kituo cha Afya Chitete...
  13. Nafasi za kazi Shirika la HIMSO December 2024

    Nafasi za kazi Shirika la HIMSO December 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi Shirika la Health and Insurance Management Services Organization (HIMSO) ni shirika la Kitanzania lisilo la kiserikali (NGO) lililoanzishwa mwaka 2012 kwa ajili ya kusaidia jitihada za serikali katika kuhakikisha huduma bora za afya zinapatikana kwa wananchi wote. HIMSO...
  14. Nafasi za kazi Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) December 2024

    Nafasi za kazi Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) December 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) inapenda kuwakaribisha Watumishi wa Umma wenye sifa na nia ya kujiunga na DART kwa njia ya uhamisho kama ifuatavyo: Mahitaji Muhimu Muombaji lazima awe Mtumishi wa Umma; Barua ya maombi iandikwe kwa Kiingereza na isainiwe; Maombi...
  15. Nafasi za kazi Platinum Credit Tanzania December 2024

    Nafasi za kazi Platinum Credit Tanzania December 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi Platinum Credit Tanzania December 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye nia, ari na sifa zote kwa kufata maelezo yaliyotolewa kwenye tangazo hili hapa chini, waweze kutuma maombi yao kuanzia siku ya leo mapema.
  16. Nafasi za kazi 70 Pasiansi Wildlife Security Company Limited (PASCO) Disemba 2024

    Nafasi za kazi 70 Pasiansi Wildlife Security Company Limited (PASCO) Disemba 2024

    Mkurugenzi wa Kampuni ya Ulinzi ya Pasiansi Wildlife Security Company Limited (PASCO) anatangaza nafasi 70 za ulinzi kwa wahitimu waliomaliza katika Chuo cha Taaluma ya Wanyamapori-Pasiansi. Sifa za mwombaji i) Amehitimu mafunzo ya mwaka mmoja yanayotolewa na Chuo cha Taaluma ya...
  17. Nafasi za kazi HR WORLD Tanzania December 2024

    Nafasi za kazi HR WORLD Tanzania December 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi HR WORLD Tanzania December 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye sifa na vigezo waweze kutuma maombi yao kuanzia siku ya leo.
  18. Nafasi za kazi Jaz Hotels December 2024

    Nafasi za kazi Jaz Hotels December 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi Jaz Hotels December 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye sifa mbalimbali waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo.
  19. Nafasi za kazi Enza Zaden Africa December 2024

    Nafasi za kazi Enza Zaden Africa December 2024

    Enza Zaden Africa Ltd ni kampuni ya kilimo cha mboga mboga inayozalisha mbegu bora za kisasa (hybrid). Mbegu zote zinazozalishwa husafirishwa kwenda kampuni mama iliyo nchini Uholanzi, ambako hupitia ukaguzi wa ubora wa hali ya juu kabla ya kusambazwa tena duniani kote chini ya nembo ya Enza...
  20. Nafasi za kazi Shule ya Sekondari Philip Mangula December 2024

    Nafasi za kazi Shule ya Sekondari Philip Mangula December 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi Shule ya Sekondari Philip Mangula December 2024. Zilizo tangazwa siku ya leo.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom