Wawili Simba Kuikosa Singida Black Stars Leo
Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba SC, Fadlu Davids amesema kuwa Kikosi chake kiko tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Singida Black Stars ambao utapigwa Leo Jumamosi katika uwanja wa CCM LITI.
Akizungumza katika Mkutano na wanahabari jana, Fadlu...
KIKOSI Cha Simba SC vs Singida Black Stars Leo 28 December 2024
Klabu ya Simba SC itakuwa ugenini kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Black Stars FC.
Mchezo huo utapigwa December 28, 2024 kwenye Uwanja wa Liti Mkoani Singida.
Kuelekea mchezo huo, Wananchiforum...
Hii hapa Ratiba ya Mechi za Leo Jumamosi 28 December 2024
Tanzania – Premier League
16:00 Singida Black Stars vs Simba SC
18:15 Dodoma Jiji FC vs Mashujaa
Italy – Serie A
17:00 Empoli vs Genoa
17:00 Parma vs Monza
20:00 Cagliari vs Inter Milan
22:45 Lazio vs Atalanta
Portugal – Primeira Liga...
Performance bora kutoka kwa kipa Wa JKT,Yakoub Suleiman🙌
Kipindi cha kwanza amefanya saves Za kutosha ila ile ya kichwa cha Ateba inaweza kuwa Save bora ya mwaka.
Jamaa yuko active Muda wote,anasoma vizuri movement Za Wachezaji Wa Simba kabla hawajapiga.
Simba iliwabidi kutumia njia mbadala...
Leo saa 10 jioni kikosi Cha Simba sports club kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili JKT Tanzania katika muendeleo wa Ligi Kuu ya NBC.
Hapana shaka mchezo wa leo utakuwa mgumu kutokana na JKT kuundwa na nyota wengi wazoefu ambao walicheza kwenye kikosi cha Simba sports club kwa nyakati...
Hii hapa Ratiba ya Mechi za Leo Jumanne 24 December 2024
Tanzania – NBC Premier League
14:00 Singida Black Stars vs KenGold
16:15 Simba SC vs JKT Tanzania
Ivory Coast – Ligue 1
18:30 ASEC Mimosas vs AS Denguele
18:30 Club Omnisports de Korhogo vs Stade D’abidjan
Egypt – Premier League
18:00...
Mchezo ulianza kwa timu zote kufanya makosa yanayofanana : kila timu walipoteza mipira kirahisi “Pass” lakini Yanga quality imeamua mchezo.
Yanga na 4-2-3-1 kama kawaida yao lakini wakiwa na mali wanabadilika na kuwa 2-4-3-1 (Job na Bacca wanakuwa nyuma ya Aucho na Muda + Kibwana na Kibabage...
Klabu ya Young Africans itacheza mchezo unaofuata dhidi ya Tanzania Prisons FC, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu ya NBC.
Mchezo huo unatarajiwa kupigwa tarehe 22 December 2024 kwenye Uwanja wa KMC Complex, Jijini Dar Es Salaam Kuanzia saa 10:00 jioni.
Michuano ya Mapinduzi Cup 2025 inatarajiwa Kuanza rasmi January 03,2024 huku Fainali zikitarajiwa kufanyika January 13,2024.
Droo ya kupanga Makundi itafanyika kwenye Uwanja wa Gombani Pemba, ambao utatumika kama uwanja wa mashindano baada ya uwanja wa Amaan kuwa kwenye maboresho.
Kwa mujibu...
Ratiba ya Mechi za Leo Jumapili 22 December 2024
Tanzania -NBC Premier League
16:00 Young Africans vs Tanzania Prisons
England – Premier League
17:00 Everton vs Chelsea
17:00 Fulham vs Southampton
17:00 Leicester City vs Wolves
17:00 Manchester United vs Bournemouth
19:30 Tottenham Hotspur vs...
🚨𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 🏆#NBCPremierLeague
Kagera Sugar 2-5 Simba Sports Club
⚽Kapombe
⚽Ahoua
⚽Ngoma
⚽Mukwala
⚽Mukwala
Leo ilikua mechi ya kwanza Kwa Elie Mpanzu kuitumikia Simba Hakika Anajua wanasimba wenyewe wameona....
Touch turn and shoot,touch turn and shoot yes! Ni style mpya mjini ambayo imeletwa...
Kikosi cha Simba SC dhidi ya Kagera Sugar
Moussa CAMARA (GK)
Shomari KAPOMBE
Mohammed HUSSEIN (C)
Chamou KARABOU
Abdulrazak HAMZA
Fabrice NGOMA
Awesu AWESU
Debora MAVAMBO
Desse MUKWALA
Jean AHOUA
Elie MPANZU
Hii hapa ratiba kamili ya Mechi za Leo Leo Ijumaa 20 December 2024
Tanzania – NBC Premier League
19:00 Namungo FC vs JKT Tanzania
Spain – Laliga
23:00 Girona vs Real Valladolid
Germany – Bundesliga
22:30 Bayern Munich vs RB Leipzig
Italy – Serie A
22:45 Hellas Verona vs AC Milan
Netherlands...