revo sports

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Uchambuzi Mechi Ya Yanga 3 vs 2 Mashujaa Fc Leo 19 December 2024

    Uchambuzi Mechi Ya Yanga 3 vs 2 Mashujaa Fc Leo 19 December 2024

    Ramovic kama kawaida yake na 4-2-3-1 , wakiwa na umiliki wa mpira wanaswitch na kuwa 2-3-2-3 (CBs wawili nyuma then Kibwana na Yao wanasogea juu mstari mmoja na Aucho huku Duke na Aziz Ki kama namba 10 wawili nyuma ya Pacome , Mzize na Dube walitengeneza uwiano mzuri eneo la mbele wakiwa na...
  2. Kikosi Cha Yanga vs Mashujaa Fc Leo 19 December 2024

    Kikosi Cha Yanga vs Mashujaa Fc Leo 19 December 2024

    Hiki hapa Kikosi Cha Yanga vs Mashujaa Leo 19 December 2024 1:Khomeiny Abubakar 2:Kouassi Yao 3:Kibwana Shomari 4: Dickson Job (C) 5:Ibrahim Abdallah 6:Khalid Aucho 7:Clement Mzize 8:Duke Abuya 9:Prince Dube 10:Stephen Aziz Ki 11:Pacome Zouzoua Hiki hapa Kikosi Cha Mashujaa Fc kinachoanza...
  3. Simba sports club safarini Leo Tarehe 19 December 2024 Kuwakabili Kagera Sugar.

    Simba sports club safarini Leo Tarehe 19 December 2024 Kuwakabili Kagera Sugar.

    Kikosi cha Simba sports club kinaondoka leo saa tano asubuhi kuelekea Bukoba, Kagera kwa ajili ya mchezo dhidi ya Kagera Sugar, utakaopigwa jumamosi ya Desemba 2, 2024. Baada ya mechi jana wachezaji waliruhusiwa kurudi nyumbani kwao kwaajili ya mapumziko na Sasa wamewasili kambini tayari Kwa...
  4. Takwimu Za Simba sports club Hadi Leo Tarehe 18 December Kwenye Ligi Kuu Nbc Tanzania 2024/2025.

    Takwimu Za Simba sports club Hadi Leo Tarehe 18 December Kwenye Ligi Kuu Nbc Tanzania 2024/2025.

    SIMBA SPORTS CLUB KATIKA LIGI KUU MPAKA SASA ➡️ROUND 12.✅ ⚽ WAFUNGAJI BORA 🇨🇲Leonel Ateba - 5 🇨🇮Jean Charles Ahoua - 5 🇹🇿Valentino Mashaka - 2 🇺🇬Desse Mukwala - 2 🇨🇲Che Melone - 2 🇹🇿Awesu Awesu - 2 🇹🇿Edwin Balua - 2 🇨🇩Fabrice Ngoma - 1 🇨🇬Debora Fernandez - 1 🇹🇿Shomari Kapombe - 1 🇹🇿Mohammed...
  5. Uchambuzi, Mechi Ya Simba vs Ken Gold Leo Tarehe 18 December 2024

    Uchambuzi, Mechi Ya Simba vs Ken Gold Leo Tarehe 18 December 2024

    Simba walimaliza game kipindi cha kwanza , walikuwa bora kwenye kila eneo (Wakiwa na mpira na wasipokuwa na mpira ….. Nafikiri ni wao tu kuwa na utulivu eneo la mwisho walitengeneza nafasi nyingi sana . Kipindi cha pili , Fadlu Davids aliamua kuifunga game (Fabrice & Mzamiru Out then Kagoma na...
  6. Msimamo wa Ligi kuu Nbc Tanzania Bara Baada Ya Mchezo Wa Leo Tarehe 18 December 2024.

    Msimamo wa Ligi kuu Nbc Tanzania Bara Baada Ya Mchezo Wa Leo Tarehe 18 December 2024.

    Huu hapa msimamo wa Ligi kuu Nbc Tanzania Bara Baada ya Mchezo wa Leo (Simbasc vs Ken Gold).
  7. Mchezo Umetamatika: Simba 2 vs 0 Ken Gold

    Mchezo Umetamatika: Simba 2 vs 0 Ken Gold

    Simba wameifunga Ken Gold katika Ligi kuu ya Nbc Tanzania Magoli mawili "2" Kwa sufuri, Magoli yote yakifunga na Mchezaji Wao hatari Leonel Ateba katika dakika ya 41 na 44 kipindi Cha Kwanza. Simba Sasa anafikisha alama 31 katika michezo 12 ya Ligi kuu Nbc Tanzania. Mfungaji Leonel Ateba nae...
  8. Michezo ya Leo Ligi ya mabingwa Africa (CAFCL) na Ligi ya shirikisho Africa (CAFCC)

    Michezo ya Leo Ligi ya mabingwa Africa (CAFCL) na Ligi ya shirikisho Africa (CAFCC)

    Wawakirishi pekee wa Tanzania katika michuano ya shirikisho Africa Leo Simba sports club kukipinga na CS SFAXIEN saa 10:00 jioni, uwanja wa Mkapa Tanzania Simba sports club Kwa Sasa wanashika nafasi ya pili wakiwa na alama tatu Nyuma ya kinara wa kundi Cs Constantine ya Algeria yenye alama 6...
  9. SHARIF IBRAHIM NI MALI YA PAMBA JIJI.

    SHARIF IBRAHIM NI MALI YA PAMBA JIJI.

    Sura ya kazi SHARIF IBRAHIM 🇨🇲 Mbavu ya Kushoto na kulia ⚽️ Mwana TP LINDANDA
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom