revo sports

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Kuelekea Mchezo Wa Leo: Cs sfaxien vs Simba sports club TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Kuelekea Mchezo Wa Leo: Cs sfaxien vs Simba sports club TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    CS Sfaxien wako nyumbani leo kwenye kampeni yao kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho na wanacheza dimbani kucheza na Simba Sc. Sfaxien hawajashinda mchezo wowote katika michezo mitatu waliyocheza na wako mkiani wakiwa hawana alama yoyote mpaka sasa huku wakiwa wameruhusu mabao 6...
  2. Yanga Wamuombee Mabaya Mc Alger Leo Dhidi Ya Al Hilal Ya Sudan

    Yanga Wamuombee Mabaya Mc Alger Leo Dhidi Ya Al Hilal Ya Sudan

    Baada ya ushindi wa jana wa Yanga dhidi ya Tp Mazembe nafikiri maombi yao yawe kwenye mechi ya leo ya Hilal dhidi ya Mc Alger. Kama Hilal atashinda leo ni wazi Yanga atakwenda robo fainali... Kwanini? Mechi itakayofuata ya Yanga itakuwa ugenini dhidi ya Hilal ambayo itakuwa imefuzu tayari kwa...
  3. Kikosi Cha Simbasc vs Cs Sfaxien Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Kikosi Cha Simbasc vs Cs Sfaxien Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    KIKOSI Cha Simba Sports Club Dhidi Ya Cs Sfaxien Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC Klabu ya Simba itakuwa ugenini Leo kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Ya Shirikisho Africa CAFCC dhidi ya Cs Sfaxien ya Tunisia. Mchezo huo utapigwa Leo January 05, 2025 kwenye Uwanja wa stade Rades Tunis...
  4. Jonathan Ikangalombo Ni Mali Ya Yanga Sc

    Jonathan Ikangalombo Ni Mali Ya Yanga Sc

    Klabu ya Young Africans imekamilisha usajili wa Winga Jonathan IkangaLombo 🇨🇩 akitokea AS Vita Club katika dirisha hili dogo la uhamisho Jonathan IkangaLombo amesaini mkataba wa miaka miwili hii leo na muda wowote kuanzia hivi sasa atapewa vifaa vya mazoezi katika klabu hiyo. Ikangalombo...
  5. Takwimu Za Simba Sports Club Michezo Ya Ugenini CAF

    Takwimu Za Simba Sports Club Michezo Ya Ugenini CAF

    SIMBA 🇹🇿 wakiwa Ugenini mechi 5 za mwisho CAF ❌ Wydad 1-0 Simba 🤝 Asec 0-0 Simba ❌ Al Ahly 2-0 Simba 🤝 Ahli Tripoli 0-0 Simba ❌ Constatine 2-1 Simba Leo Vs Cs sfaxien..?
  6. Michezo Ya Leo January 05, 2025 Kilabu Bingwa Africa TotallyEnergyCAFCL 2024/2025

    Michezo Ya Leo January 05, 2025 Kilabu Bingwa Africa TotallyEnergyCAFCL 2024/2025

    Leo michezo mitatu itapigwa ya kukamilisha Ungwe ya Nne kunako Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL.
  7. Michezo Ya Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Michezo Ya Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Michezo ya leo Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC)
  8. Siku Ya Mchezo: Cs sfaxien Vs Simbasc TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Siku Ya Mchezo: Cs sfaxien Vs Simbasc TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Leo, Mnyama, Simba SC yupo dimba la ugenini nchini Tunisia akiwakabili CS Sfaxien. mechi ya marudiano Kombe la Shirikisho Afrika, Kundi A. Mtanange huu utapigwa saa 1:00 usiku Leo January 05, 2025.
  9. Mkutano Na Waandishi Wa Habari Nchini Tunisia, Simba Sports Club Kuelekea Mchezo Wa Leo January 05, 2025 CAFCC

    Mkutano Na Waandishi Wa Habari Nchini Tunisia, Simba Sports Club Kuelekea Mchezo Wa Leo January 05, 2025 CAFCC

    Kocha Mkuu wa klabu ya Simba sports club Fadlu Davids ameweka wazi kuwa mchezo wa leo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika (𝗧𝗼𝘁𝗮𝗹𝗘𝗻𝗲𝗿𝗴𝗶𝗲𝘀𝗖𝗔𝗙𝗖𝗖) dhidi ya CS Sfaxien utakuwa mgumu kutokana na ubora wa wapinzani Kocha Fadlu amesema pamoja na CS Sfaxien kufanya mabadiliko kwenye benchi la...
  10. Msimamo Wa Kundi La Yanga Kundi A TotallyEnergy CAFCL 2024/2025

    Msimamo Wa Kundi La Yanga Kundi A TotallyEnergy CAFCL 2024/2025

    Yanga wameshinda Leo na kufufua matumaini ya kufuzu hatua ya robo fainali Africa CAFCL huku wakishika nafasi ya tatu na alama nne Nyuma ya Mc Alger mwenye alama sawa na Yanga akiwa na michezo Mitatu huku Yanga amecheza michezo minne na kinara Wao ni Al HILAL ambae anaongoza kundi hilo Kwa alama...
  11. Mchezo Umetamatika: Yanga SC 3️⃣ 🆚 TP MAZEMBE 1️⃣ TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Mchezo Umetamatika: Yanga SC 3️⃣ 🆚 TP MAZEMBE 1️⃣ TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Yanga walianza mechi vizuri sana : umiliki wa mpira , intensity ya hali ya juu , pressing , walikuwa wanapasiana mpira vizuri sana wakati wanaanza “Build Up” na walitumia sana eneo la katikati kutengeneza nafasi kwasababu Tp Mazembe walikuwa wanazuia wakiwa chini lakini hawakufanya pressing ya...
  12. Mapumziko: Young SC 1️⃣ 🆚 TP MAZEMBE 1️⃣ TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Mapumziko: Young SC 1️⃣ 🆚 TP MAZEMBE 1️⃣ TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Mechi nzuri ya kuitazama, Yanga wanamiliki mali vizuri lakini wakifika kwenye nusu ya Mazembe wanakuwa na idadi ndogo ya wachezaji + Tp wanazuia vizuri wakiwa kwenye “Mid block” : Yanga wanapata runners wengi eneo la mbele na wapo sharp kwenye kuachia mipira Wanachokifanya Mazembe wakati...
  13. Kikosi Cha Yanga Leo Dhidi Ya Tp Mazembe CAFCL 2024/2025

    Kikosi Cha Yanga Leo Dhidi Ya Tp Mazembe CAFCL 2024/2025

    Kikosi cha YANGA SC dhidi ya Mazembe 🇲🇱 Diarra 🇹🇿 Kibwana 🇨🇩 Boka 🇹🇿 Bacca 🇹🇿 Job 🇺🇬 Aucho 🇹🇿 Mudathir 🇧🇫 Aziz Ki 🇿🇼 Dube 🇹🇿 Mzize 🇨🇮 Pacome
  14. Kikosi Cha Tp Mazembe Kinachoanza Dhidi Ya Yanga Leo January 04, 2025 CAFCL

    Kikosi Cha Tp Mazembe Kinachoanza Dhidi Ya Yanga Leo January 04, 2025 CAFCL

    HIki hapa Kikosi Cha Tp Mazembe kinachoanza kuwavaa Yanga ya Tanzania Leo saa kumi kamili.
  15. Wananchi Leo Ni Gusa Achia Twende Kwao

    Wananchi Leo Ni Gusa Achia Twende Kwao

    Baada ya Yanga kupata “Turning Point” yao pale Lubumbashi dhidi ya Tp Mazembe kwenye CAFCL leo wanarudi tena wakiwa nyumbani dhidi ya wababe hao hao kutoka DR Congo. Sead Ramovic ametambulisha system mpya ya uchezaji ndani ya Yanga kwenye michezo mitatu ya hivi karibuni : shape ya 4-2-3-1 kama...
  16. Tp Mazembe Wapata Ahadi Nono Kutoka Kwa Raisi Wao Kwa Kila Goli

    Tp Mazembe Wapata Ahadi Nono Kutoka Kwa Raisi Wao Kwa Kila Goli

    Rais wa Tp mazembe MOÏSE KATUMBI amewaahidi wachezaji wake dollar 💰$100,000 ambazo ni sawa na Tshs milioni (240,090,900.2695) kwa kila bao litakalofungwa dhidi ya Young AfricansSC leo Jumamosi 04 January 2025.
  17. Eng. Hersi Said Aongea Kuelekea Mchezo Wa Leo January 04, 2025 Yanga vs Tp Mazembe CAFCL 2024/2025

    Eng. Hersi Said Aongea Kuelekea Mchezo Wa Leo January 04, 2025 Yanga vs Tp Mazembe CAFCL 2024/2025

    "...Sisi wachezaji wetu ndio ambao watakaotubakiza kwenye ramani ya Champions League na wao ndio watakaotutoa kwenye ramani kwa hiyo ufunguo upo kwao watuweke kwenye mashindano kwa kushinda au kututoa kwa kupoteza, uzuri na wachezaji wametoa ahadi yao kuwa watapigana kushinda."- Eng. Hersi Said...
  18. Kikosi Cha Yanga vs Tp Mazembe Leo 04 January 2025 CAFCL

    Kikosi Cha Yanga vs Tp Mazembe Leo 04 January 2025 CAFCL

    KIKOSI Cha Young African's vs Tp Mazembe Leo 04 January 2025 Klabu ya Yanga itakuwa nyumbani Leo kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL dhidi ya Tp Mazembe. Mchezo huo utapigwa January 04, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin mkapa Tanzania Mkoani Dar es salaam saa kumi kamili...
  19. Benchikha Ajiuzulu Ukocha Js Kabylie

    Benchikha Ajiuzulu Ukocha Js Kabylie

    Aliyekuwa Kocha Mkuu Wa JS Kabylie Abdelhak Benchikha Amejiuzulu katika nafasi yake hiyo ya Ukocha. Benchikha Anasema “Nikama nilikuwa naishi Njiani sijawahi kuipata Amani Hata kama tukishinda au Kupoteza sijawahi kuwa na Amani NIMECHOKA.” Benchikha ameiacha JS Kabylie ikiongoza ligi Kwa...
  20. Siku Ya Mchezo: Yanga vs Tp Mazembe CAFCL Leo 04 January 2025.

    Siku Ya Mchezo: Yanga vs Tp Mazembe CAFCL Leo 04 January 2025.

    Yanga Leo Dimbani kusaka Alama tatu ambazo zitafufua matumaini yao ya kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Africa CAFCL, Mchezo utachezwa Benjamin mkapa Tanzania majira ya saa kumi jioni. Clatous Chama na Attohoula Yao watakosekana kwenye mechi ya keshoCAF CL dhidi ya Tp...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom