You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an alternative browser.
You should upgrade or use an alternative browser.
Featured content
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hizi hapa Nafasi za Kazi Kutoka SUMET Tanzania Novemba 2024 | Ajira Mpya kwa watanzania wote wenye nia na sifa waweze kutuma maombi kuanzia sasa.
SUMET ni kampuni ya usambazaji inayokua kwa kasi na yenye kutumia teknolojia, ikibadilisha mchakato wa kuzindua bidhaa mpya, kujenga mfumo wa kutathmini alama za mkopo ili kutoa huduma ya "nunua sasa, lipa baadaye" (BNPL) kwa wauzaji wa rejareja na jumla.
Je, wewe ni kiongozi wa mauzo unayeweza kufikiria kimkakati na mwenye malengo ya kuleta...
Hizi hapa Nafasi za Kazi Kutoka Shirika la Aqua-Farms (AFO) Novemba 2024 | Ajira Mpya za Mashirika zilizo tangazwa kwa siku ya leo kwa watanzania wote waweze kutuma maombi kuanzia sasa.
Shirika la Aqua-Farms (AFO) ni Shirika lisilo la Kiserikali lililosajiliwa chini ya Sheria ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ya mwaka 2002 nchini Tanzania, likiwa na namba ya usajili ooNGO/0009297. Aqua-Farms lilianzishwa mwaka 2016 na kusajiliwa rasmi tarehe 6 Julai 2017. Lengo kuu la shirika hili ni...
Hizi hapa Nchi za Afrika zinazoongoza kwa ukosefu wa ajira kuanzia mwaka 2023 mpaka 2024
NchiKiwango cha ukosefu wa ajira (%)Mwaka
Afrika Kusini33.52024
Angola32.32024
Djibouti27.92022
Botswana27.62024
Swaziland22.22023
Jamhuri ya Congo21.82022
Senegal21.62024
Sudan20.82023
Gabon20.42023
Namibia19.62023
Ukosefu wa ajira ni changamoto kubwa kwa mataifa mengi barani Afrika, huku baadhi ya nchi zikiongoza kwa viwango vya juu vya ukosefu wa ajira. Afrika Kusini inaongoza...
Hizi hapa Nafasi za Kazi Kutoka Kampuni ya Qhihaya General Enterprises Novemba 2024 | Ajira Mpya 200 za madereva zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye ari na nia ya kutuma maombi kuanzia leo.
Qhihaya General Enterprises Limited ni kampuni inayo husika na uzalishaji na usambazaji wa Nguzo za umeme na makaa ya mawe nchini Tanzania.
Ajira zilizo tangazwa
1. Dereva - Nafasi 200
Mwisho wa Kutuma maombi ni tarehe 25 Novemba 2024
Nafasi za Kujitolea MDH
Hizi hapa Nafasi za Kazi MDH Novemba 2024 | Ajira Mpya 332 za Kujitolea Maombi yawasilishwe katika ofisi za halmashauri husika kabla ya tarehe 15 Novemba, 2024.
Management and Development for Health (MDH) ni shirika lisilo la kiserikali ambalo lengo lakekuu ni kuchangia na kushughulikia vipaumbele vya huduma za Afya kwa umma kwa ajili ya ustawiwa jamii. Vipaumbele hivi ni pamoja na kuzuia kuenea kwa magonjwa ya kuambukiza kama vileVVU/UKIMWI, Kifua Kikuu na Malaria, kutekeleza huduma za...
Hizi hapa Nafasi za Kazi Kutoka Benjamin William Mkapa Foundation (BMF) Novemba 2024 | Ajira Mpya zilizo tangazwa siku ya leo tarehe 8 Novemba 2024.
Benjamin William Mkapa Foundation (BMF) ni Taasisi isiyo ya faida, iliyoanzishwa mwaka 2006 kwa lengo la kuhakikisha afya na ustawi kwa wote nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla. Dira yake ni kuunda suluhisho endelevu na imara kwa mifumo ya afya na huduma zinazohusiana, kwa matokeo yenye usawa wa kiafya. Dira na dhamira ya BMF zinaweza kufikiwa...
Kwa niaba ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS), Taasisi ya Uhasibu Arusha, Wizara ya Maji, na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawaalika Watanzania wenye sifa zinazofaa, walio na uzoefu, ari na mwamko kujaza nafasi za kazi mia moja na tano (105) zilizotajwa kwenye PDF hapo juu.
Kwa maelezo zaidi kuhusu nafasi zilizo tangazwa tafadhali tembelea tovuti ya Ajira Portal.
Resource 'Majina ya Walioitwa Kazini Utumishi na Ajira Portal | Manispaa ya Sumbawanga | Mji Newala'
Hii hapa orodha ya Majina ya Walioitwa Kazini Utumishi na Ajira Portal | Manispaa ya Sumbawanga | Mji Newala Tangazo la Matokeo ya Usaili kwa Waombaji Kazi PSRS 2024.
Haya hapa Matokeo ya Usaili Ajira Portal na Utumishi | TBC, Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) yaliyo tangazwa na Sekretarieti ya Ajira Tanzania uliofanyika tarehe 5 mpaka tarehe 6 Novemba 2024, orodha kamili ya majina ya waliotwa kufanya usaili wa kuandika yapo chini.
Matokeo ya usaili yaliyo tangazwa
1. Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC)
2. Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH)
Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili.
Wasailiwa wote wanakumbushwa...