Ajira na Nafasi za kazi

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa na Makampuni Mbali mbali kutoka Tanzania, Sector Binafsi na Ajira za Serikalini.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hili Hapa Tangazo la ajira mpya Azam Pesa pakuan PDF hapo chini kisha tuma maombi Mpema kabla ya deadline
Replies
0
Views
5K
Nafasi za Internship TAREA Ajira Mpya 2025
Hilia hapa Tangazo la ajira mpya TAREA wakishirikiana na TAMFI watanzania wenye sifa na Ari wanahitajika kujaza nafasi hizi Tuma maombi Mapema Kabla ya Deadline
Replies
0
Views
3K
Jeshi la Polisi Tanzania linapokea maombi ya ajira kutoka kwa vijana wenye sifa zinazohitajika. Ajira hii inatoa fursa kwa Watanzania wenye nia ya kuhudumu katika kulinda usalama wa raia na mali...
Replies
1
Views
8K
ramjijumahussein
Hapa Tumekuandalia mifano mitatu ya barua ya maombi ajira jeshi la polisi Tanzania iangalie vizuri kisha andika yako kwa mkono kwa maana wametaka barua iandikwe kwa mkono mifano ya barua hii hapa
Replies
0
Views
21K
Hatua kwa hatua Jinsi ya Kuingia katika Mfumo wa Ajira Polisi Tanzania 2025 kutuma maombi katika nafasi za kazi zilizo tangazwa siku ya leo. Bonyeza hapa kuingia
Replies
0
Views
3K
Arthur
Jinsi ya Kufungua Akaunti / Account Ajira Polisi Tanzania 2025 kujisajili katika mfumo wa maombi, fata hatua hizi hapa chini. Bonyeza hapa kufungua sasa
Replies
0
Views
8K
Arthur
Jeshi la Polisi Tanzania limetangaza nafasi za Ajira mpya leo Machi 21, 2025. Jisajili hapa katika mfumo wa maombi ya ajira polisi Ingia katika mfumo wa ajira jeshi la polisi hapa.
Replies
0
Views
13K
Arthur
Huu hapa mwongozo wa jinsi ya kutumia na kutuma maombi katika Mfumo wa Maombi ya Ajira jeshi la Polisi Tanzania kwa kada zote.
Replies
0
Views
8K
Arthur
Hili hapa tangazo la Ajira Mpya Polisi Tanzania kada zote 21-03-2025 nafasi za kazi Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania anatangaza nafasi za ajira kwa vijana wa kitanzania wenye elimu ya shahada...
Replies
0
Views
22K
Arthur
Hili hapa Tangazo la Ajira mpya Jeshi la polisi Tanzania, Zinatangaza nafasi za ajira kwa vijana wa kitanzania wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada, Kidato cha sita na Kidato cha nne...
Replies
0
Views
29K
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom