Ajira na Nafasi za kazi
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa na Makampuni Mbali mbali kutoka Tanzania, Sector Binafsi na Ajira za Serikalini.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hili hapa Tangazo la nafasi za kazi Azam TV Pakua pdf kamili hapo chini kisha tuma maombi mapema kama una sifa zakutosha na ari yakuchangamkia Fursa
Orodha ya Majina ya walioitwa au Kuitwa kwenye usaili TRA interview Mamlaka ya Mapato Tanzania leo. Pakua PDF hapo chini ya majina na vituo vya usaili NB: Majina yatatangazwa kupitia tovuti ya TRA...
Haya hapa matokeo ya usaili wa vitendo uliofanyika 21/03/2025, Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi...
Usaili wa Ajira TRA 2025 Taarifa kwa Umma
Taarifa kwa umma kuhusu tangazo la Usaili wa Ajira TRA 2025.
Majina ya Usaili ajira za TRA kutoka kesho Vituo vya Usaili TRA kwa Watakaoitwa kwenye Interview Mamlaka ya Mapato Tanzania Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Mamlaka ya Mapato Tanzania...
Orodha ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili TRA Mamlaka ya Mapato Tanzania Kutoka Kesho. Mkurugenzi wa Rasilimali watu na utawala wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Moshi Jonathan Kabegwe...
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombajikazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 05-01-2025 na tarehe 24-02-2025kuwa matokeo ya...
Hili hapa tangazo la orodha ya majina ya Walioitwa Kazini Ajira Portal 21-03-2025 utumishi muda huu.
Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha Ardhi Machi 2025 Ajira Portal
Hii hapa orodha ya majina ya Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha Ardhi Machi 2025 kutoka Ajira portal / Utumishi (PSRS) leo. Pakua PDF hapo chini.
Chuo Kikuu Ardhi (ARU) kinapenda kuwataarifu waombaji kazi mbalimbali waliofanyausaili tarehe 03, 04 na 05 Machi, 2025 kuwa, majina ya waombaji kazi waliofauluusaili huo ni kama yalivyoorodheshwa...