Elimu
Ikiwa una baadhi ya masuala ya Chuo/Shule na ungependa kushiriki nasi, yachapishe hapa!
NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Shule ya msingi
Makala mbalimbali kuhusu elimu ya darasa la saba pia darasa la nne
- Threads
- 89
- Messages
- 89
Ufadhili wa Masomo Romania 2025 Utumishi
Ufadhili wa Masomo Romania 2025 Maombi yanakaribishwa kutoka kwa Maafisa wenye sifa kutoka Utumishi wa Umma kuomba kozi za muda mrefu zinazodhaminiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Romania kwa mwaka...
- Article
Ufadhili wa Masomo Indonesia 2025 Utumishi
Ufadhili wa Masomo Indonesia 2025 Maombi yanakaribishwa kutoka kwa Watumishi wa Serikali ya Tanzania wenye sifa za kutosha kuomba nafasi za masomo kwa ngazi ya Shahada ya Kwanza, Shahada ya...
- Article
Elimu ya Teknolojia na Fursa za Ajira katika Sekta ya IT #ElimuYaTeknolojia #
Teknolojia inazidi kuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku, na ujuzi katika sekta hii unazidi kuwa na thamani kubwa kwenye soko la ajira. Kupitia elimu ya teknolojia, vijana na wataalamu...
- Article
Majina ya Walioitwa Kuanza Mafunzo ya Ufundi na Stadi za Kazi katika fani mbalimbali kwa njia ya Uanagenzi VETA KAZI PMO-LYED
Hili hapa Tangazo kuitwa kuanza Mafunzo ya Ufundi na Stadi za Kazi katika fani mbalimbali kwa njia ya Uanagenzi. Itakumbukwa kuwa tarehe 31 Januari, 2025 Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira...
Haya hapa Matokeo ya mitihani ya CBA, UANAGENZI NA NABE VETA & NACTVET 2024 Taarifa ya matokeo ya mitihano ya ufundi stadi msimu wa desemba 2024. Bonyeza hapa kuangalia matokeo CBA, UANAGENZI NA...
- Article
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) linapenda kuufahamisha umma kuwa limeidhinisha matokeo ya Mitihani ya Taifa ya Ufundi Stadi katika ngazi ya I, II na III...
Boresha ujuzi wako na upate maarifa ya kiwango cha juu kupitia kozi fupi ya Misingi ya Masoko ya Kidijitali. Kozi hii imebuniwa kwa ajili ya wataalamu wanaotaka kujiendeleza, ikikupa zana za...
- Article
Ufadhili wa Masomo Turkey scholarship program 2025/2026 Tanzania Wizara ya Elimu
Tanzania, Wananchi wote wanajulishwa kuwa programu ya ufadhili wa masomo nchini Uturuki kwa mwaka wa masomo 2025/2026 imefunguliwa kwa Watanzania wenye sifa. Ufadhili huu unajumuisha masomo ya...
- Article
Hii hapa orodha kamili ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano 2025/2026 mfumo kwa waliopata matokeo yao ya kidato cha nne mwaka 2024 form five selection kuanza safari...
- Article
Jinsi ya Kutumia AzamPesa Kuongeza Pesa/Salio NCARD Azam Pesa N-CARD
Ongeza salio la N-Card yako moja kwa moja kupitia Azampesa na ulipe nauli za kivuko bila kupoteza muda. Hivi ndivyo unavyoweza kuongeza salio la N-Card yako: Kupitia App: Fungua App Gusa "Lipa...