Elimu
Ikiwa una baadhi ya masuala ya Chuo/Shule na ungependa kushiriki nasi, yachapishe hapa!
Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa
Shule ya msingi
Makala mbalimbali kuhusu elimu ya darasa la saba pia darasa la nne
- Threads
- 89
- Messages
- 89
- Article
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) linapenda kuufahamisha umma kuwa limeidhinisha matokeo ya Mitihani ya Taifa ya Ufundi Stadi katika ngazi ya I, II na III...
Boresha ujuzi wako na upate maarifa ya kiwango cha juu kupitia kozi fupi ya Misingi ya Masoko ya Kidijitali. Kozi hii imebuniwa kwa ajili ya wataalamu wanaotaka kujiendeleza, ikikupa zana za...
- Article
Ufadhili wa Masomo Turkey scholarship program 2025/2026 Tanzania Wizara ya Elimu
Tanzania, Wananchi wote wanajulishwa kuwa programu ya ufadhili wa masomo nchini Uturuki kwa mwaka wa masomo 2025/2026 imefunguliwa kwa Watanzania wenye sifa. Ufadhili huu unajumuisha masomo ya...
- Article
Hii hapa orodha kamili ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano 2025/2026 mfumo kwa waliopata matokeo yao ya kidato cha nne mwaka 2024 form five selection kuanza safari...
- Article
Jinsi ya Kutumia AzamPesa Kuongeza Pesa/Salio NCARD Azam Pesa N-CARD
Ongeza salio la N-Card yako moja kwa moja kupitia Azampesa na ulipe nauli za kivuko bila kupoteza muda. Hivi ndivyo unavyoweza kuongeza salio la N-Card yako: Kupitia App: Fungua App Gusa "Lipa...
Ufadhili Global Korea Scholarship 2025/2026 Wizara ya Elimu
Umma unajulishwa kuwa Global Korea Scholarship (GKS) ya 2025 imetoa ufadhili wa masomo kwa Watanzania waliokidhi vigezo kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Watanzania wanahimizwa sana kuomba nafasi...
Nafasi za Ufadhili wa Masomo Pan African University 2025
- Article
Udahili wa wanafunzi Mkupuo wa Machi 2025/2026 ngazi ya Astashahada na Stashahada NACTVET Kujiunga na Vyuo
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) linapenda kuutaarifu umma kuwa udahili wa wanafunzi katika ngazi ya Astashahada na Stashahada kwa muhula wa Machi, 2025...
Nafasi za Masomo Chuo cha CBE March 2025 Ada, Sifa, Vigezo
Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) anakaribisha maombi ya kujiunga na Chuo katika kampasi za Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza na Mbeya kwa masomo yatakayoanza mwezi MACHI 2025 katika ngazi za...
- Article
Mabadiliko ya Tarehe ya Uzinduzi wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 Wizara ya Elimu
Mabadiliko ya Tarehe ya Uzinduzi wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023